Mfahamu Meja Jenerali Muhiddin Kimario. Ukisikia mzalendo ndio huyu

Mfahamu Meja Jenerali Muhiddin Kimario. Ukisikia mzalendo ndio huyu

1984 mkuu, alikuwa ndiye Mkurugenzi wa CDA na walisimamishwa kazi kwa upotevu wa karibu 20$ mil kama sijakosea, kesi uso ilikuja kwisha kipindi cha mwinyi na wakatimuliwa , mijengo yake ipo pale Dom karibu na SIDO na ukumbi pale Makole karibu na CBE
Wazalendo mwishoni wanastuka hawana kitu na siku za kustaafu zinakaribia kwa shingo upande inabidi wajiongeze tu. Hizi nchi tatizo ni umaskini tu.
 
umeandika uongo.

Shahidi X = Waziri Augustine Mahiga (ameshakufa 2021 na mwili umeoza)
Shahidi Y = Mabele Marando (ameshakufa 2022 na mwili umeoza)
Mabere Marando huyu wa TISS na NCCR Mageuzi amefariki lini? sina taarifa za kifo chake
 
Back
Top Bottom