ALWATAN KIZIGO
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 539
- 644
Wakuu samahani kwa muda mrefu nimekua nimesikia jina la huyu bilionea anayeitwa kinje mtoto wa mwanasiasa aliyestaafu CCM mzee Kingunge Ngombare Mwiru.
Nasikia ni tajiri kupindukia na biashara zake hazijulikani hasa ni zipi ntashukuru endapo nitapata wasifu wake..
Nasikia ni tajiri kupindukia na biashara zake hazijulikani hasa ni zipi ntashukuru endapo nitapata wasifu wake..