Mfahamu mfanyabiashara na bilionea Kinjekitile Kingunge Ngombare Mwiru

Mfahamu mfanyabiashara na bilionea Kinjekitile Kingunge Ngombare Mwiru

Kuna watu wapumbavu sana..
katoka lowasa ccm.....sasa anaitwa fusadi namba moja...haya..sasa katoka kingunge naye mnaanza kumchokonoa...HII INAONESHA KUWA CCM NI GENGE LA UHALIFU..ukitoka lazima wakuandame.....
 
Hana utajiri wowote.alikuwa anatumia jina la babake yule mzee mwenye mapengo kuibia serikali na kuuza ngada.warudi shamba tu sasa.
 
Ndio tatizo letu litaofanya tubaki hapa tulipo kama tukiendelea na siasa za namna hii,kabla mzee wake hajajivua gamba hamkuuliza maswali haya...hamna mawazo mapya,oct 25 kwel mnahitaji kupumzishwa.
 
Huyo jamaa mbona imebaki historia tu..yaani huyo ni zilipendwa.
 
Ndio tatizo letu litaofanya tubaki hapa tulipo kama tukiendelea na siasa za namna hii,kabla mzee wake hajajivua gamba hamkuuliza maswali haya...hamna mawazo mapya,oct 25 kwel mnahitaji kupumzishwa.

Oktoba 25 sio mbali jipange kukubali matokeo na hatutaki vurugu!
 
Acha unafiki jinga kabsaaa
 
Ni kweli mkuu jinjekitile ni billionaire utajiri wake una mashaka kama ulivyo wa muuza poda mtoto wa mkulu pia ni Sawa na wa mzee wa tusker katibu wetu na ni kwa sababu ya serikali legelege iliyoshindwa kudhibiti hata lowasa miaka nane toka wakuambie diye muhusika wa Richmond.
Nasikia kwa hofu ya mabadiliko panone zipo sokoni.
 
Kinje tangu lini kawa tajiri? Mbona ni mganga njaa kama wengine tu. Katika list ya mabilionea hayumo hata chembe. Ana pesa ya kula tu
 
Kina Kinje ndio mabadiliko yenyewe, wanamuogopa Magufuli kama ukoma wanaijua shughuli yake.
 
Mpigaji flani ivi kama Riz na Le mutuz
 
Hana lolote ni mtoto wa mama tu, watu wana muoverestimate lakini ni zero kichwani , hayuko creative pia hana element yoyote ya biashara , anapenda kujikweza na kutaka aonekane ni mpambanaji wakati anakinga mkono kwa mama.kwa ufupi ni kulakulala.
 
Back
Top Bottom