ALWATAN KIZIGO
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 539
- 644
biashara zake ni kama za Ridhiwani Kikwete
Mbona hukuwa kumuulizia b4 baba ake hajaondoka CCM??? Acha ulimbukeni ongea mambo ya msingi. Kama unahitaji kujua si umtafute umuulizeee??? Una elimu gani kwanza wewe???
Mbona hukuwa kumuulizia b4 baba ake hajaondoka CCM??? Acha ulimbukeni ongea mambo ya msingi. Kama unahitaji kujua si umtafute umuulizeee??? Una elimu gani kwanza wewe???
Nasikia ni tajiri kupindukia na biashara zake hazijulikani hasa ni zipi ntashukuru endapo nitapata wasifu wake..
Mbona mkali wewe.Na wewe ni mmoja wao bila shaka.
Mbona hukuwa kumuulizia b4 baba ake hajaondoka CCM??? Acha ulimbukeni ongea mambo ya msingi. Kama unahitaji kujua si umtafute umuulizeee??? Una elimu gani kwanza wewe???
Godfrey-Nzoa, anaweza kuwa na habari zake.