Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndyo na hutok nje pia.Hata mimi siingii ndani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe ni mjinga sana wameru na wamasai wapo karibu lakini majina yao ya ukoo hawasheiAkili zako ndipo zilipo komea
Atasikiliza nani sasaKwanini hafungui media yake akajitegemea!?
Na jamaa anabisha utadhani alimbatiza yeye..Kipindi yule mmaasai alipopiga B7 za tanzanite Millard alianza kujiita Millard Ayo Saninu Laizer..Wewe ni mjinga sana wameru na wamasai wapo karibu lakini majina yao ya ukoo hawashei
Ayo ni jina la ikoo la wameru na Laizer ni jina la ukoo la wamasai
Nasikia anataka kuja kukuchumbia uwe bimdogo wake.Vipi kuhusu mahusiano yake, sijawahi kumuona akihusiana na baby yoyote
Au wenzangu mnamjua mpenzi wake
Hayo majina ya laizer na muyenjwa ni inspiration names jamaa nae kaandika tu bila kujua..Iyo laizer hajajiongeza kweli[emoji848][emoji848]