T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Mkuu hujaona chawa mkuu Aristote kaoa tena nyumba ni choo. Waache vijana wajishikizeDuuh mkuu Hadi email yake unayo bilashaka wewe ni chawa wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hujaona chawa mkuu Aristote kaoa tena nyumba ni choo. Waache vijana wajishikizeDuuh mkuu Hadi email yake unayo bilashaka wewe ni chawa wake
Njaa zinatupeleka pabayaMkuu hujaona chawa mkuu Aristote kaoa tena nyumba ni choo. Waache vijana wajishikize
Binafsi nimeona mdau huyo hajitambui hivi siku hizi hata kuwa na mawasiliano ya mtu nao ni uchawa.Mkuu hujaona chawa mkuu Aristote kaoa tena nyumba ni choo. Waache vijana wajishikize
Kuna jamaa mtaani watu hawajui mishe zake anashinda na PC na simu. Kumbe ni Public Representative wa msanii flani na hakai sana ofisini. Majirani walipomuona nae kwenye clip Insta wakasema ni chawa, kumbe jamaa ndio anapost vitu vingi vya yule msanii ila hakutaka wajue wasisumbue kutaka tagNjaa zinatupeleka pabaya
Unakuta Mtu anamusema mwingine chawa wakati yeye hana hata uhakika wa kula.Kuna jamaa mtaani watu hawajui mishe zake anashinda na PC na simu. Kumbe ni Public Representative wa msanii flani na hakai sana ofisini. Majirani walipomuona nae kwenye clip Insta wakasema ni chawa, kumbe jamaa ndio anapost vitu vingi vya yule msanii ila hakutaka wajue wasisumbue kutaka tag
Duuh mkuu Hadi email yake unayo bilashaka wewe ni chawa wake
Waliozungusha form 4 ndo wanao zungusha pesa Duniani...
Mbona unafoka bila sababu? Wakina tido muhando nao utahoji hivyohivyoKwanini hafungui media yake akajitegemea!?
Mark Zuckerburg kasoma, Elon pia kasoma. Nilichogundua matajiri waliofanikiwa kupitia elimu ni wale waliwekeza kwenye teknolojia maana walifanya kitu wanachomudu na wameingia darasani au wana ujuzi wa kutosha.Waliozungusha form 4 ndo wanao zungusha pesa Duniani...