Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,017
- 16,431
Kuna watu wanaopenda kulia lia hapa kwamba Tanzania imeikomboa Afrika. Mfahamu Mkenya kwa jina Professor Washington Okumu aliyeleta pande mbili pamoja na kuwezesha uchanguzi wa South Africa wa 1994 kufanyika. Mangosuthu Buthelezi, kiongozi wa watu wa kabila la Zulu alikuwa amekataa kushiriki katika uchaguzi wa 1994 na chama cha ANC kikiongozwa na Nelson Mandela walishindwa kumbembeleza huyu jamaa kushiriki uchaguzi hadi huyu Mkenya alipokuja na kumshawishi Buthelezi kushiriki katika uchaguzi wa 1994.
Washington Aggrey Jalang'o Okumu (21 February 1936 – 1 November 2016) was a Kenyan diplomat, politician, academic and author, who rose to fame as the mediator that convinced the Inkatha Freedom Party's leader, Mangosuthu Buthelezi, to be part of South Africa's democratic elections in 1994, thereby ensuring a peaceful transition for South Africa's politics.[1] He is also the author of two books: 'Lumumba's Congo: Roots of Conflict' published in 1962 and 'The African Renaissance: History, Significance and Strategy' published in 2002.
en.m.wikipedia.org
Washington Aggrey Jalang'o Okumu (21 February 1936 – 1 November 2016) was a Kenyan diplomat, politician, academic and author, who rose to fame as the mediator that convinced the Inkatha Freedom Party's leader, Mangosuthu Buthelezi, to be part of South Africa's democratic elections in 1994, thereby ensuring a peaceful transition for South Africa's politics.[1] He is also the author of two books: 'Lumumba's Congo: Roots of Conflict' published in 1962 and 'The African Renaissance: History, Significance and Strategy' published in 2002.