dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
kichwa kipi ?Unajipaka babakea kichwani ππππ€ͺ
Huyo dada unamtoa wapi? πkichwa kipi ?
natafuta dada mmoja awe thick, namvalisha nguo zile za kihindi
kisha namwagia maji, tunaanza imba huku namshika na kumbambia, tukifatisha video ya akshay na yule bibie, Mohra
masai dada, atanifikiriaHuyo dada unamtoa wapi? π
Wivu wa kulia tunda lako? π€ͺWivu wa nini?
masai dada uje huku umeitwa ufike machinjooni Pugu, Chanika πππmasai dada, atanifikiria
we jamaa phaller kweli π¬ π¬ , umetag kabisa ?masai dada uje huku umeitwa ufike machinjooni Pugu, Chanika πππ
Eeh!! Makubwa π³Wivu wa kulia tunda lako? π€ͺ
Anaogopa ndoa huyo....hatari...masai dada uje huku umeitwa ufike machinjooni Pugu, Chanika πππ
Mhmm!! Me uzuri nautoa wapi jamani? π
Ndio yangu makubwa mboni umeyatolea macho hivyo? π€ͺEeh!! Makubwa π³
Anaogopa wapi kakupa location ufike machinjooni πππAnaogopa ndoa huyo....hatari...
Tatizo sinywi....yaani nafataga mbuzi tu pale kwa hiyo jmos laZima Huwa nakuja...ila jion kama Leo....siwez ningekua nakunywa ndo kingekua kiwanjaπ π π π π
Njoo Butiama
HaujifichagiMhmm!! Me uzuri nautoa wapi jamani? [emoji12]
Kwenye maandishi? π
Wana saikolojia sisi tunaelewaKwenye maandishi? [emoji23]
Familia ya wasanii hii..
Teh teh teh πππ hii kali...kwaio uyu ndo kajala wa india? haya tuonesheni konde boi