Mfahamu muigizaji Kajol

Kuna msanii mmoja wa India alikuwa anaitwa Govinder hahaaaaaa
Alicheza ktk movie ya Yaya akiwa na adui mmoja hivi anakula mikaranga muda wote. Sasa kipindi hicho uko vidudu au primary std 1 au 2. Halafu wenzako wajue bado hujaenda jando. Hahaha kazi unayo unabatizwa hilo jina utaitwa kuanzia shuleni hadi kanisani
Hahaaaaaa
 
Kuna jamaa pale magomeni, tumekua naye ktk makuzi yetu. Yeye ndiye aliyekuwa reference yetu ya movie za kihindi. Yeye mpka akawa anaweza kusikia kihindi kabisaa.
 

Aishwarya ni kahaba tu, hana tofauti na wale wa Bongo movie. alikua yupo kwenye kurukia fursa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…