Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Ni jambo la kawaida kwa mtu aliyeshiba, halafu akakosa kazi ya kufanya. Kwa vyovyote vile lazima aje tu na mada kama hii.Hizi,mada huwa za kipuuzi tu, weka mada kuhusu, Artificial intelligence, kilimo cha kisasa,jinsi, ya, kupata kazi, ughaibuni,
Chombo cha china kutoka anga za mbali kimerudi na sample za mawe kutoka kwenye mwezi!! Sie, tupo tunajadili, kofia, ya, Padre, au, kati yq, Ismael na, isaka,nani,alitaka kutolewa sadaka!
Upuuzi,