Mfahamu mwana dada aliyedondoka umbali mrefu toka kwenye ndege bila parachuti na kupona

Mfahamu mwana dada aliyedondoka umbali mrefu toka kwenye ndege bila parachuti na kupona

300+ unaona wengi?mwaka huu pekee nina 14 au 15 na uchumi wangu hauko stable
Nitashangaa mkuu kama utasema kuna time unakaa chini na kujiuliza kwanini uchumi wako hauko stable mpaka sasa
 
Nitashangaa mkuu kama utasema kuna time unakaa chini na kujiuliza kwanini uchumi wako hauko stable mpaka sasa
Haina haja ya yey kukaa chini kujiuliza ilhali inafahamika fika kuwa vita ya Ukraine dhidi ya urus imetikisa uchumi wa walio wengi dunian
 
Kuna walevi wanashinda baa weekend nzima think about them
Post yangu kwanini imekugusa sana?mara ya pili hii unanijibu.

Hapo juu umenijibu mwisho ukanipa $hit kwamba mimi mjinga ila elewa sikuwa na lengo la kukuudhi nilikuwa najaribu kufanya research ya kujua kama mtu kuzini na wanawake tofauti tofauti anaweza kuwa anaamini ni nuksi au siyo nuksi.

Hata hivyo nimeelewa
 
Back
Top Bottom