2017 No Name
Senior Member
- Jul 26, 2017
- 172
- 133
Nikiwa mkubwa nataka kuwa kama playboy
Afu unakufa unagundua hamna moto,..sikupatii picha.Hatari huyu mzee. Moto unamuhusu
Sent using Jamii Forums mobile app
jamaa alikuwa anapga mishe gan..Mno .biashara zake zilikua zinaingiza pesa na watoto analala nao. Ila bongo ukiishi hivi unakua masikini ghafla sijui kwanini
Ndio hivyo mkuu. Wanaweza kukuchanganya akili kabisa[emoji23] nasikia hata Albert Einstein pamoja na plato na ISACK newton wote walishindwa kuwaelewa wanawake
Sent using Jamii Forums mobile app
Alikua anamiliki ma casino, gazeti za play boy, kutengeneza porn na miradi mingine mingi iliyokua chini ya kampuni yake ya play boy interprisejamaa alikuwa anapga mishe gan..
mbona mda mwng alikuwa anatumia kuspend sana na madem..
sangap alikuwa anaingiza fweza?
Hawa viumbe sio mchezo aiseeNdio hivyo mkuu. Wanaweza kukuchanganya akili kabisa
Kwa hyo unamaanisha jk ..........Hivi tezi dume ni mwanaume akiwa anafanya kinyume na maumbile or?
C'mon babaangu anahusiana vip na hii mada?? Umedataa??Kwa hyo unamaanisha jk ..........
Hapana iko hivi tezi dume anapata mwanaume ambae umri umeenda mara nyingi ni kuanzia miaka 55 na kuendelea mpaka 60 na kuendelea ,japo si wote hupatwa na hali hii,vipi baba yako amesalimika?
[emoji23] [emoji23] naona umejaa nyembe fasta,raia bhana
?Yaani dola buku kwa wiki, duh yaani malaya wanapiga hela kuliko wachazaji wa Simba na Yanga?
Kuna jamaa mmoja alikuwa mtoto pekee kwa mama yake,halafu mama alikuwa nazo.Ebwana jamaa kaanza kuwagonga tokea akiwa darasa la nne.Huyu jamaa kwanza mpaka tunafika la saba robo tatu ya wasichana darasa letu aliwapitia,kishule ndiyo usiseme.Mjinga pamoja na home mambo safi lakini alikuwa Mchezaji mzuri wa mpira wa miguu.Ebwana jamaa akienda Interschool competition lazima aibuke mchezaji bora.Huyu mwamba yaani alikuwa kivuruge 2000_2010 nasikia saivi ameoa rasmi.Kuna demu mimi nilikuwa namfukuzia nikijua nimepata,siku moja nikaona jamaa katika stori zake sijui demu alimwambia na mie namtaka.Nilimvulia kofia huyu jamaa(jamaa kuna familia kadhaa alitembeza dushe Dada,Anti,nk).Bongo vicheche tu hakunaga playboys wote wadangaji play boy lazima uwe na mtonyo hiyo moja kingine msingi kiuno OG!!!!!