Mfahamu play boy

Mfahamu play boy

Yeah enzi hizo, "The Playboy Mansion"
naaaam " ndio ilivyokuwa yaitwa hivyo""... ilikuwa balaaa daaahhhh wanajianika hao vyupi nje nje"".... nilikuwa nachek ile na show ya wendy William..na ya kina kadarshians ndio ilikuwa inaanza anza kupata umaarufu
 
naaaam " ndio ilivyokuwa yaitwa hivyo""... ilikuwa balaaa daaahhhh wanajianika hao vyupi nje nje"".... nilikuwa nachek ile na show ya wendy William..na ya kina kadarshians ndio ilikuwa inaanza anza kupata umaarufu
Mimi mpaka leo hua naangalia keeping up with the kardashians . Namuelewa sana kendall jenner na khloe
 
kumbeee""!!! Mimi niliachaga Aisee"" sema Yule bimkubwa wao amevurugwa mnooo
Hahaha bi mkubwa sio poa yule, anajiachiaga mpaka na bikini[emoji23] na yule serengeti wake
 
Kwa ninavyojua mimi,tezi dune inatokana na kuongezeka kwa vichocheo vya hormone iitwayo testosterone,ikizidi inakuza prostate(tezi dume).Kwa wanaume ambao umri umesogwa kuanzia miaka 50 kuendelea,wanapata hii shida kwani vichocheo vya testosterone hormone vinakuwa kwa kasi na prostate gland inazidi kuongezeka size.So kama hauutumii wakati vizuri(means kufanya ile michezo kwa uwingi na uzuri zaidi ili kupunguza load ya testosterone na kupunguza isiongeze size ya prostate),uwezkano wa kupata tezi dume unakuwa obviously!!
mwl. wangu wa biology alikuwa muongo sasa, maana alinifundisha kuwa prostate ni tezi inayotoa ule umajimaji wa kuteleza unaouona mwanaume wakati mnara umesimama kwa kiwango cha 4G na hivyo kwa kufanya sana ngono tezi dume linakuwa na kazi zaidi ya uwezo wake na hivyo linalazimika kupanuka zaidi ili kutoshereza mahitaji ya mtumiaji.....
 
Hakuwa akiwapima ?alikula raha sana aisee,utakuta mtu hana pesa anataka nae kuiga hayo [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom