Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
HahahaHakuwa akiwapima ?alikula raha sana aisee,utakuta mtu hana pesa anataka nae kuiga hayo [emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaHakuwa akiwapima ?alikula raha sana aisee,utakuta mtu hana pesa anataka nae kuiga hayo [emoji23][emoji23][emoji23]
Watoto wanatulia kwenye pesa[emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha
Yes,ndio wengine tunazitafuta mno ,huyu Mzee kala sana totoz ,[emoji12] [emoji12]Watoto wanatulia kwenye pesa[emoji23][emoji23][emoji23]
Tafuta huku unatumiaYes,ndio wengine tunazitafuta mno ,huyu Mzee kala sana totoz ,[emoji12] [emoji12]
Asee,mm tena,mtumiaji mzuri mno, natumia pesa ili zinizoee ,na pia ziingie zaidiTafuta huku unatumia
Mambo byeeAsee,mm tena,mtumiaji mzuri mno, natumia pesa ili zinizoee ,na pia ziingie zaidi
HahahaMambo byee
Hahaha mkuu kwa bongo utachizi. Kila binti akuwekee limbwatahili ndo bata sasa...na mm nataka hiyo mission ipo under way. bora ufe kishukaa kuliko kwa risasi ya polisi wa green gadi
Qummermaye wallah,kuna wanadamu wanaishi maisha ya peponi wakiwa hapahapa Duniani!Siku yake ya kuzaliwa mwaka katika sherehe 2008 warembo walikua uchi.yeye tu ndiye alivaa nguo
[emoji23] watu maisha wanayafaidi mkuuQummermaye wallah,kuna wanadamu wanaishi maisha ya peponi wakiwa hapahapa Duniani!
Una ndoto nzuri sana mkuuNikiwa mkubwa nataka kuwa kama playboy
Kumwelewa mwanamke unahitaji kusoma article sio chini ya milioni tisa, plus Biblia na Quran na vitabu vingine kama novel, lambart, na manual za mashine kutoka ujerumani na Uturuki bila kusahau maombezi ya mara kwa mara.Wanawake wana akili zao.
[emoji23] nasikia hata Albert Einstein pamoja na plato na ISACK newton wote walishindwa kuwaelewa wanawakeKumwelewa mwanamke unahitaji kusoma article sio chini ya milioni tisa, plus Biblia na Quran na vitabu vingine kama novel, lambart, na manual za mashine kutoka ujerumani na Uturuki bila kusahau maombezi ya mara kwa mara.