Mfahamu play boy

Mfahamu play boy

Inatokana na nini Luca?
Nachojua ki hkl ni kua umri unavokua mkubwa ndio hufanya prostate grand (tezi ) ipanuke iwe kubwa hivo kumfanya mtu akojoe kwa tabu na ashindwe kufanya mapenzi

Ila hakuna sababu hasa ya tezi dume hata madaktari wanabuni tu.mara waseme ni kula mno nyama ya ng'ombe

Ila hiyo ya kula tigo nilisikia pia ina madhara fulani kwa mwanaume ila sikufatilia niluona tu humu jf
 
Kwa ninavyojua mimi,tezi dune inatokana na kuongezeka kwa vichocheo vya hormone iitwayo testosterone,ikizidi inakuza prostate(tezi dume).Kwa wanaume ambao umri umesogwa kuanzia miaka 50 kuendelea,wanapata hii shida kwani vichocheo vya testosterone hormone vinakuwa kwa kasi na prostate gland inazidi kuongezeka size.So kama hauutumii wakati vizuri(means kufanya ile michezo kwa uwingi na uzuri zaidi ili kupunguza load ya testosterone na kupunguza isiongeze size ya prostate),uwezkano wa kupata tezi dume unakuwa obviously!!
Asante mkuu
 
Nachojua ki hkl ni kua umri unavokua mkubwa ndio hufanya prostate grand (tezi ) ipanuke iwe kubwa hivo kumfanya mtu akojoe kwa tabu na ashindwe kufanya mapenzi

Ila hakuna sababu hasa ya tezi dume hata madaktari wanabuni tu.mara waseme ni kula mno nyama ya ng'ombe

Ila hiyo ya kula tigo nilisikia pia ina madhara fulani kwa mwanaume ila sikufatilia niluona tu humu jf
Mmmh mi najuaga hivyo kweli tena!
 
Halafu jamaa kama huyu niende nae kwenye moto sawa siku nikifa...
Hapa lazima ni appeal maana papuchi nilizokula mpaka sasa hazifiki 3 alafu nichomwe moto sawa na jamaa aliyekula pochi manyoya zote hizo
Mkuu haujui alikufaje Shangaa unamkuta anaelekezwa kuingia peponi kwa heshiiima kweli .wewe unapelekwa kwa kipigo motoni [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Back
Top Bottom