Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Umewahi kusikia jina play boy mitaani ? Likitumika kumaanisha mwanaume muhuni ? Basi ni sahihi
Muanzilishi wa jina hili anaitwa Hugh Hefner ,huyu bwana alizaliwa april 9 1926 na kufa september 27 2017,
Jamaa anajulikana sana duniani wa kupiga picha na wabebez yani hapa le mutuz cha mtoto
Lakini tofauti na le mutuz ,huyu jamaa alilala na kila mwanamke aliyekua akipiga nae picha, tena bila condom
Ipo hivi, jamaa alimiliki jumba lililoitwa play boy mansion huko los angeles marekani
Katika jumba hilo aliishi na vibinti vya umri wa miaka 18 mpaka 20 hivi ambao mabinti hao walikua ni 15 (alibadili wote kila alipowachoka)
Jamaa alikua anafanya nao mapenzi mabinti wote kwa pamoja ambao aliwaita playmates
Na kila ijumaa asubuhi wakati wa kuchukua mishahara yao (dola 1000) kila mmoja ,aliwala
Iliwabidi wapange mstari kuingia chumbani kwake wakipeana dakika mbili kila mmoja za kufanya mapenzi na jamaa ndio wachukue mshahara
Jamaa hakuwaruhusu kutoka katika jumba la playboy wala kuwa na wapenzi
Alichagua mwanamke mmoja kati yao wa kulala nae kila siku (main girlfriend) ambaye mwisho wa mwaka alipewa gari aina ya porsche mpyaaa
Huyu bwana hakuwaruhusu kuzurula hovyo wabebez zake likua mkali sana
Usiku alikua na kitu kinaitwa bed room party ,warembo wote wanaingia chumbani kwake na kuvua nguo na kufanya mapenzi naye, wakati amempandia mmoja wengine wanashangilia , na kama upo period unaruhusiwa kuingia room ila usivue pajama sababu anaweza kukupandia pia
Na sometime alikua analala tu kitandani then mwanamke mwenyewe ndiye anamaliza kila kitu
Alikuwa na sebule 3 za kulia chakula na kila asubuhi anachagua nani akae wapi
Sebule ya kwanza anakaa yeye na warembo anawaotaka siku hiyo
Ya pili wanakaa wa kawaida
Ya tatu wasio kuwa na mvuto siku hiyo
Huyu mzee amewala sana mabinti ,pia alimiliki kampuni ya kutengeneza picha za ngono
Alikuwa na pesa mno, jumba lake aliliuza usd 100 million mwaka 2016 kwa sharti ukinunua basi umuache aishi humo mpaka kufa kwake
Ameacha watoto wawili na mke mmoja ambao hakua akiishi nao,alipenda kuishi na mabinti wadogo kufanya nao mapenzi
Jamaa ameanza tabia yake tokea miaka ya 60 enzi za kina marlin monroe ambapo alimiliki jarida la play boy magazine lililojaa picha za utupu za ma modo hao
Pia alimiliki ma casino na night clubs
Tabia yake akifika club alikua anawapanga watembo wake 15 kwenye red carpet na kupiga nao picha
Muanzilishi wa jina hili anaitwa Hugh Hefner ,huyu bwana alizaliwa april 9 1926 na kufa september 27 2017,
Jamaa anajulikana sana duniani wa kupiga picha na wabebez yani hapa le mutuz cha mtoto
Lakini tofauti na le mutuz ,huyu jamaa alilala na kila mwanamke aliyekua akipiga nae picha, tena bila condom
Ipo hivi, jamaa alimiliki jumba lililoitwa play boy mansion huko los angeles marekani
Katika jumba hilo aliishi na vibinti vya umri wa miaka 18 mpaka 20 hivi ambao mabinti hao walikua ni 15 (alibadili wote kila alipowachoka)
Jamaa alikua anafanya nao mapenzi mabinti wote kwa pamoja ambao aliwaita playmates
Na kila ijumaa asubuhi wakati wa kuchukua mishahara yao (dola 1000) kila mmoja ,aliwala
Iliwabidi wapange mstari kuingia chumbani kwake wakipeana dakika mbili kila mmoja za kufanya mapenzi na jamaa ndio wachukue mshahara
Jamaa hakuwaruhusu kutoka katika jumba la playboy wala kuwa na wapenzi
Alichagua mwanamke mmoja kati yao wa kulala nae kila siku (main girlfriend) ambaye mwisho wa mwaka alipewa gari aina ya porsche mpyaaa
Huyu bwana hakuwaruhusu kuzurula hovyo wabebez zake likua mkali sana
Usiku alikua na kitu kinaitwa bed room party ,warembo wote wanaingia chumbani kwake na kuvua nguo na kufanya mapenzi naye, wakati amempandia mmoja wengine wanashangilia , na kama upo period unaruhusiwa kuingia room ila usivue pajama sababu anaweza kukupandia pia
Na sometime alikua analala tu kitandani then mwanamke mwenyewe ndiye anamaliza kila kitu
Alikuwa na sebule 3 za kulia chakula na kila asubuhi anachagua nani akae wapi
Sebule ya kwanza anakaa yeye na warembo anawaotaka siku hiyo
Ya pili wanakaa wa kawaida
Ya tatu wasio kuwa na mvuto siku hiyo
Huyu mzee amewala sana mabinti ,pia alimiliki kampuni ya kutengeneza picha za ngono
Alikuwa na pesa mno, jumba lake aliliuza usd 100 million mwaka 2016 kwa sharti ukinunua basi umuache aishi humo mpaka kufa kwake
Ameacha watoto wawili na mke mmoja ambao hakua akiishi nao,alipenda kuishi na mabinti wadogo kufanya nao mapenzi
Jamaa ameanza tabia yake tokea miaka ya 60 enzi za kina marlin monroe ambapo alimiliki jarida la play boy magazine lililojaa picha za utupu za ma modo hao
Pia alimiliki ma casino na night clubs
Tabia yake akifika club alikua anawapanga watembo wake 15 kwenye red carpet na kupiga nao picha