Mchajikobez
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 371
- 539
Haa.haa haa hiyo schwarzniger ukipatia kuiandika njoo nikupigie makofiSometimes sisi wanaume visukari na presha huwaga tunavishobokea wenyewe, wanawake wengine ni wa kugonga na kutambaa zako. Huyu dogo janja kujitia u shwarzniger wa moyo, kaamua kulivaa wakati Kuna vitoto kibao vibichi vya age yake.
Not WC ilikuwa uefa finalSi yule nyota wa liverpool aliyetenguliwa bega world cup!
Schwarzenegger[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Haa.haa haa hiyo schwarzniger ukipatia kuiandika njoo nikupigie makofi
Ni lini Salah katenguliwa bega world cup????????Si yule nyota wa liverpool aliyetenguliwa bega world cup!
Aliwahi kuimbwa na Mwana FA kwenye wimbi wa dume suruali.Tajiri MtataView attachment 885052
Maswali ya google usiniulize mimiNi lini Salah katenguliwa bega world cup????????
Haa haa haa naona umepata msaada kutoka kambi pinzaniSchwarzenegger[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Alitenguliwa bega na Ramos fainali ya UEFA sio world cupSi yule nyota wa liverpool aliyetenguliwa bega world cup!
Sure ile mechi kipa wa liverpool alikulaga mlunguraAlitenguliwa bega na Ramos fainali ya UEFA sio world cup
Kwnye dume suruali nlskia kama mwana f.a anataja hili neno nkajua wa wcbTajiri MtataView attachment 885052
unafatiliaga mpira kweli?,mechi ipi ya world cup salah alivunjwa begaSi yule nyota wa liverpool aliyetenguliwa bega world cup!