Mchajikobez
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 371
- 539
Haa.haa haa hiyo schwarzniger ukipatia kuiandika njoo nikupigie makofiSometimes sisi wanaume visukari na presha huwaga tunavishobokea wenyewe, wanawake wengine ni wa kugonga na kutambaa zako. Huyu dogo janja kujitia u shwarzniger wa moyo, kaamua kulivaa wakati Kuna vitoto kibao vibichi vya age yake.