witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
HaaahaaaaHaa haa haa naona umepata msaada kutoka kambi pinzani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HaaahaaaaHaa haa haa naona umepata msaada kutoka kambi pinzani
Kumbe sponsor ndiyo habari ya mujini. Sponsor wangu AsprinHawa mabinti wa bongo muvi wana akili za kijasiriamali sana...huwa wanahakikisha wanakaa na Mtu ambaye hawezi kuanzishiwa ugomvi kwa ajili yao.
Sponsor akipaniki anaambiwa "loo na wewe..unakaonea wivu hata kale"
Ndio mbinu za kina Wolper, Shishi...nadhani Shishi ameshastaafu huko.
Ndo nilichojiuliza pia,kumbe makorokocho tu ndani.Mbona hujamuelezea huyo Salaa ili tumjue zaidi kama ulivyotulisha hapo kwenye kichwa cha uzi
Sponsor ndio habari.Kumbe sponsor ndiyo habari ya mujini. Sponsor wangu Asprin
Duuh kwa hiyo matanuzi yote yale bado anapanga kumbe?Ila jamani huyu dogo janja anajitafutia ugonjwa wa moyo aje kufa bure siku si zake, sasa na yeye kwa akili zake kabisa akajua mwenyewe atamtuliza uwoya ? , namuonea huruma sana aiseeh
Uwoya sasa hvi yuko busy na danga lake jipya na tattuuu Kajichora, mtoto anapewa bata la nguvu , Mara Dubai , sasa hivi anazunguka tu kila sehemu anakula bata , dogo Janja naona anamlinda krish na nyumba
Kwanza huyo dogo janja anaishi kwenye nyumba ambayo mlipaji kodi ni salaa, yani haka katoto kalijiona kajanja kumpata uwoya , ngoja anyooshwe vizur kwanza
Watu wengi humu akili zenu sio za kupambanua mambo..dogo janja alimuolea tu huyo salaah kuepusha shari labda kwa familia yake..hata kitu kidogo km hichi mnashindwa pambanua? Hakuna ndoa kati ya Irene na dogo janja hilo nakataa.
Hahaha ila warumi, we si juzi ulikua unamtetea wema kuwa jina ni brand ana haki ya kulilia hahahaRaha ya danga upate mzuri halafu mwenye pesa , halafu anajua kuhonga, mbona uwoya maisha yake , sasa hvi dollar hazimpig chenga, sema na akumbuke tu kuji invest , awaulize akina wema yaliyowakuta, sasa hvi wanalilia majina
kweli ussidhani hivyo hivyo...ila...Sidhan kama ni huyo,
Sallah rafiki wa mwanafa,anafamilia yake na heshima zake hawez muoa changu uyo.
mkuu una uhakika gani Kama kafaidi??, wanawake dizaini ile ngumu kutoa papchi aseeKama ni kufaidi dogo ashafaidi cha muhimu ajiwekee pembeni aangalie mambo mengine ya kufanya.
Ina maana yale mambwembwe yote ya nn? au irene pale alikuwa anashot Bongo movie na dogo janja anatunga video Ya mziki?Watu wengi humu akili zenu sio za kupambanua mambo..dogo janja alimuolea tu huyo salaah kuepusha shari labda kwa familia yake..hata kitu kidogo km hichi mnashindwa pambanua? Hakuna ndoa kati ya Irene na dogo janja hilo nakataa.