Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma uelewe, umepita shule lkn?Kumbe kweli ana Diploma tu
Mbona hamsemi historian ya Job Ndugai?
Nani vilimtosha? Miaka 60 ya uhuru bado watu wanaishi maisha magumu sana. Uchumi hovyo, ajira za vijana hakuna, uhuru wa kweli na demokrasia ndiyo sahau kabisa. Nchi hii ilimshinda Nyerere na wote walioufatia. Ndiyo ukweli.Huyu bibi 'maviatu' waliyomvalisha yanampwaya sana, inamwia shida hata kutembea.
Wewe lazima una kibinda nkoiHuyu bibi 'maviatu' waliyomvalisha yanampwaya sana, inamwia shida hata kutembea.
Kama kweli wote hao hakuna hata mmoja na bado wananchi wametulia na kuwashangilia, basi shida haiko kwa viongozi...wananchi mataahira!Nani vilimtosha? Miaka 60 ya uhuru bado watu wanaishi maisha magumu sana. Uchumi hovyo, ajira za vijana hakuna, uhuru wa kweli na demokrasia ndiyo sahau kabisa. Nchi hii ilimshinda Nyerere na wote walioufatia. Ndiyo ukweli.
Masters in bachelor of certificate in human development
yeah nimepita tu shule wakati naenda dukaniSoma uelewe, umepita shule lkn?
hivi hii ni equivalent to degree?Ana postgraduate diploma siyo diploma kama diploma maana amepiga hadi Open university
oogh basi sawaMbona kaandika alipata MSc?