Mfahamu Samia Suluhu Hassan; Maisha na Kazi

Mambo ya machifu Tanzania hayatambuliki kisheria na yalifutwa kwa sheria ya bunge.Sikuwahi kusikia Nyerere,Mwinyi au Mkapa kupewa uchifu,haya mambo yalianza na kikwete aliyeitwa Chidikula chifu wa waluguru.
Hizi hua ni kama sifa tu ya kumtukuza mtu ili kupata nafasi fulani.
 
Huyu mama wanataka kutuaminisha kwamba aliibuka kutoka kusikojulikana na hakuzaliwa.Wazazi wake hawatakiwi popote.Ndugu zake hawatakiwi popote.Tuna rais asiyejulikana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ngoja tufanye utafiti juu ya familia yake naweza leta mrejesho hapa.
 

Historia ya Nyerere iko wazi.
Kasomi tuletee historia kamili tumjue vizuri huyu mama, labda tutajua sababu kwanini anafanya anayoyafanya.

Mfano inabidi tujue Wake wenza ni kina nani, familia zao zote, familia ya mme wake, Wazazi wake, Babu zake, watoto wote kwenye familia ya wake wanne.

Wazazi na mabibi na mababu kweny upande wa mme wale na wake wenza watatu.

Background yake itatusaidia kujua kwanini anachukua maamuzi anayochukua.
 
Sawa mkuu ngoja nijitahidi kuchunguza hayo yote ili kuweza bayana historia nzima.
 
Sawa mkuu ngoja nijitahidi kuchunguza hayo yote ili kuweza bayana historia nzima.

Poa. Itatusaidia sisi Wananchi. Hata kujua Mentality yake.

Nilisoma miezi kadhaa nyuma amepata cheti chake Salford University, CV imebadilishwa sasa ni Manchester University.

Anyway Viongozi wengi wetu elimu zao ni za kuungaunga.
 
Poa. Itatusaidia sisi Wananchi. Hata kujua Mentality yake.

Nilisoma miezi kadhaa nyuma amepata cheti chake Salford University, CV imebadilishwa sasa ni Manchester University.

Anyway Viongozi wengi wetu elimu zao ni za kuungaunga.
Kweli lakini ngoja tuchunguze zaidi juu ya historia yake kiundani.
 
Elimu ya Samia ina utata kiukwel hakuna sehemu aliyopata shahada ya kwanza Zaid n diploma za kat na za juu

Utata Zaid unakuja kwenye hii shahada ya pili sjui imekaaje yaan namna ya kuiita naona Kama n shida


Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Elimu yake inaonekana kuwa na utata sababu hakusoma moja kwa moja amesoma kwa kuunga unga.
 
Poa. Itatusaidia sisi Wananchi. Hata kujua Mentality yake.

Nilisoma miezi kadhaa nyuma amepata cheti chake Salford University, CV imebadilishwa sasa ni Manchester University.

Anyway Viongozi wengi wetu elimu zao ni za kuungaunga.
Itakuwa Manchester united.
 
Advanced diploma iko uzani sawa na DEGREE.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…