Okoth p'Bitek
JF-Expert Member
- Jan 11, 2019
- 1,124
- 1,384
Jamaa ndio icon ya mzumbe mpaka sasa.Nilikuwa nae pia pale Uzumbeni ile Advance class moja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa ndio icon ya mzumbe mpaka sasa.Nilikuwa nae pia pale Uzumbeni ile Advance class moja.
Ulisoma PCM ?Nilikuwa nae pia pale Uzumbeni ile Advance class moja.
PCM, Shaban Robert.Ulisoma PCM ?
Ulikuwa kijiji kipi Karume, Mkwawa au Shaban Robert ?
Hahaahha huko waluguru walikuwa wanawashughulikia sanaPCM, Shaban Robert.
Wale jamaa hawafai, sijawahi sikia siku wamekamatwa wao ni mwendo wa kuwapiga tu matukio.Hahaahha huko waluguru walikuwa wanawashughulikia sana
Last time niliisikia gwamaka Yuko states University of Florida alisoma na mtu Fulani pale mzumbe advance ninayefahamiana naeGwamaka Njobelo sio ?
Nadhani ashamaliza. Kale kajamaa kalikuwa na kichwa fulani hivi adimu sana. Wakati wa likizo we unakomaa unapiga mapindi machimbo yote ya mjini, unaandika manotes kibao ye anapeleka tu kichwa pale Mapambano haandiki hata notes, akirudi nyumbani uliza movie gani mpya hajaiangalia ? Class akati we unakomaa na Chand wao yeye na jamaa yake mmoja anaitwa Nicky wanairekebisha Chand eti imekosea.Last time niliisikia gwamaka Yuko states University of Florida alisoma na mtu Fulani pale mzumbe advance ninayefahamiana nae
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah jamaa yupo kwa TrumpLast time niliisikia gwamaka Yuko states University of Florida alisoma na mtu Fulani pale mzumbe advance ninayefahamiana nae
Sent using Jamii Forums mobile app
Nmependa jibu lakoSina akili nina ufahamu. Mwenye akili ni huyo aliyepata 1.3 halafu anashindwa kupata angalau karai kwa kila kozi chuo.
Kwenye uhalisia mambo ni tofautiClassic example ya MTU mwenye uwezo darasani bila akili ya maisha
They end up unfit and frustrated
Lameck yupo Mwanza ni Civil Engineer, Fadhilay ni Md kamaliza Muhas, hao wengine sijuiErasmi nampata, yupo wapi saiv. Last time nilimuona udsm mwaka 2017 semester 1. Wakat jamaa yupo form 4 sie pale Bwiru tulikuwa form 2. Mpinzani wake alikuwa Lameck na Fadhilahi Abdul Msuya. Wakiwa kwenye t-shirt nyekundu. Akina Mussa Mabrouk sijui wako wapi? Mambuye? n.k
Erasmi Enyansi hakwenda Tosa alienda Bwiru Boys then Ilboru alipokuwa To 2013 ACSEEKihombo awezi tembeza hesabu ya Erasmus enyasi..Huyo dogo erasm alikuwa kichwa wa hesabu tokea tukiwa nae primary school huko Kilimanjaro...alikuwa anapiga 100% hesabu primary.. Akatoka akaenda tosa
Sent using Jamii Forums mobile app