Mfahamu T.O Kihombo 2006 aliyepata Degree yake ya Kwanza baada ya Miaka 11

Mfahamu T.O Kihombo 2006 aliyepata Degree yake ya Kwanza baada ya Miaka 11

Jamaa kajaa tambwe sana. As if he ndo mtu pekee kuwahi kusoma au kupata hiyo 1.3 duniani.

IMG_20200419_134103.jpg

IMG_20200419_134504.jpg

IMG_20200419_134043.jpg
 
Hata hivyo hawa ma TO, kwa uelewa wangu mdogo asipopata usimamizi mzuri kwa maana ya kumuelekeza au kumuongoza nini afanye wapi na kwa wakati gani mara nyingi huwa wanapata shida sana kutoka maana wanakuwa wanajiamini kupita kiasi.

Kwahiyo hali kama hiyo inawafanya kupuuza au kuchukulia poa kila kitu kinachomhusu na mwisho wa siku ndiyo hivyo wanaishia kusiko julikana au kupata majanga tu katika mlolongo wa elimu,maisha au hata katika utafutaji wao!

Jamaa hakumaliza labda amemaliza mwaka huu, engineermate mwenzangu even though professional tofaut ila tulianza nae 2013 but 2017 alisitisha masomo, so automatically hakumaliza bachelor yake, Kihombo talented man without vision......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli kabisa jamaa....kuna jamaa nimesoma nae gineus akawa doctor. . ila aliacha udoctor akawa mchora vibonzo kazi aliyoipenda
Kila mtu ana passion fulani ndani yake. So kama passion yako ww ni kupata pesa nuingi, mwingine passion yake ni kufundisha, mwingine kuvumbua.. na n.k

Nilivyo muelewa mtoa post ni kwamba jamaa ni genius but aliamua kufuata passion yake regardless alichokisomea. Most of genius huwa wanaona regular job ni boring so huwa wanafuata passion zao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanarekebisha chand..daaah kuna watu walikua vichwa halafu wala walikua hawatumii nguvu nyingi kusoma na walikua wanafaulu kama kawa.

#MaendeleoHayanaChama.
Nadhani ashamaliza. Kale kajamaa kalikuwa na kichwa fulani hivi adimu sana. Wakati wa likizo we unakomaa unapiga mapindi machimbo yote ya mjini, unaandika manotes kibao ye anapeleka tu kichwa pale Mapambano haandiki hata notes, akirudi nyumbani uliza movie gani mpya hajaiangalia ? Class akati we unakomaa na Chand wao yeye na jamaa yake mmoja anaitwa Nicky wanairekebisha Chand eti imekosea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanarekebisha chand..daaah kuna watu walikua vichwa halafu wala walikua hawatumii nguvu nyingi kusoma na walikua wanafaulu kama kawa.

#MaendeleoHayanaChama.

Sent using Jamii Forums mobile app
Si ndo hapo. We unakomaa uelewe na ikishindikana umeze njia iliyoandikwa kwenye Chand wakati huo wenzako wanaikosoa. Dunia haina usawa.
 
Kwenye hao MAT.O wote mnaowajadili kwa nini wasiungane angalau kufanya project ya kutengeneza ventilator kama wenzao wa Kenya na Rwanda au mnaonaje?
 
Back
Top Bottom