Barakoa
JF-Expert Member
- Apr 11, 2020
- 741
- 1,352
Ntauza code mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ntauza code mkuu.
Jamaa hakumaliza labda amemaliza mwaka huu, engineermate mwenzangu even though professional tofaut ila tulianza nae 2013 but 2017 alisitisha masomo, so automatically hakumaliza bachelor yake, Kihombo talented man without vision......
Hahahahahh htrYani mtu aliyepata bachelor degree baada ya miaka 11 ndo unamsifia hivi!!?
Nlivoanza kusoma uzi nlifikiri ntakutana na mtaalamu aliyevumbua kitu fulani kumbe ni mwalimu wa tuition.
Hmm jirani upo kweli? Adimu sanaDuh! Tusubiri id ya corona sasa au sanitaiza [emoji2210][emoji2210]
Kila mtu ana passion fulani ndani yake. So kama passion yako ww ni kupata pesa nuingi, mwingine passion yake ni kufundisha, mwingine kuvumbua.. na n.k
Nilivyo muelewa mtoa post ni kwamba jamaa ni genius but aliamua kufuata passion yake regardless alichokisomea. Most of genius huwa wanaona regular job ni boring so huwa wanafuata passion zao.
Nipo jirani yangu napuyanga tuHmm jirani upo kweli? Adimu sana
Sawa! Upo kwa makonda au zenji?Nipo jirani yangu napuyanga tu
Nadhani ashamaliza. Kale kajamaa kalikuwa na kichwa fulani hivi adimu sana. Wakati wa likizo we unakomaa unapiga mapindi machimbo yote ya mjini, unaandika manotes kibao ye anapeleka tu kichwa pale Mapambano haandiki hata notes, akirudi nyumbani uliza movie gani mpya hajaiangalia ? Class akati we unakomaa na Chand wao yeye na jamaa yake mmoja anaitwa Nicky wanairekebisha Chand eti imekosea.
Si ndo hapo. We unakomaa uelewe na ikishindikana umeze njia iliyoandikwa kwenye Chand wakati huo wenzako wanaikosoa. Dunia haina usawa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanarekebisha chand..daaah kuna watu walikua vichwa halafu wala walikua hawatumii nguvu nyingi kusoma na walikua wanafaulu kama kawa.
#MaendeleoHayanaChama.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo mkoa wa pwani sasaSawa! Upo kwa makonda au zenji?
Nipo poa! Kabisa, za majukumu?Nipo mkoa wa pwani sasa
Uko poa lkn
Aisee salama sana karibu kwetuNipo poa! Kabisa, za majukumu?
Huko bwagamoyo? Tuombe uzima corona ikiisha nitakujaAisee salama sana karibu kwetu
Sawa tuombe corona iishe harakaHuko bwagamoyo? Tuombe uzima corona ikiisha nitakuja
Amen..!Sawa tuombe corona iishe haraka