Charles Mandela
JF-Expert Member
- Dec 9, 2011
- 2,752
- 2,282
Uko sahihi kabisa! Lakini kwa nchi ya Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla huwa zina mtindo unaofanana wa kutoa orodha ya wanafunzi waliofanya vizuri katika mitihani yao ya taifa.huu uT.O ni upuuzi mtupu tu
kwenye nchi zinajozielewa ni marufuku kisheria kupanga eti fulani ni TOP,
utaandwa na maswali mpaka ya kijamii je unajiweza kujichanganya na kadamnasi
Kwahiyo huwezi kuitwa wewe ni TOP
sababu kiulewo kuna ma hao ma TO mnavyoita wana kuwa ni "autistic genius"
Kwenye shughuli za kujichangaya wao hawataki kadamnasi ya watu kabisa lakini wanakubalika kwenye ugenius(kipaji)
Matusi ya nini jamani! Presha inapanda! Presha inashuka! Kuta za Babeli zinakwenda kuanguka meni πππWe fala hujui hafu unakera hfu mbishi kama shipa
List ya ma-TO
2020 mwka huu sijui
2019 mwaka huu sijui
2018 mwaka huu sijui
2017 dogo mmoj kutoka mazinde juu PCB
2016 dogo mmoja hv kutoka tabor boys PCM
2015 dogo PCM kutoka Fez boys PCB
2014 dogo kutoka st joseph ya posta PCM huyu alikuwa na 4 phys alipata B huyu alipata A ya computer optinal huu mwaka TO alikuwa na points 4
2013 dogo mmoja w iliboru huu mwaka TO alikuwa na one ya tano mwaka huo physcs ilianzia C wadau kibao walidondoka muhas na two za PCD na D za kutosh tu
2012 TO alikuwa demu kutoka marian
2011 huku ndo jamaa wa kuitwa muhagachi from kibaha PCM
2007 Jamaa wetu w Pugu now ni PHd holder EGM
Hii list hapo sijaingia google ni kumbukumbu za kichwani tu
Acha ubishi wa kiseng.e we jamaa hizi list unfikiri tumezitunga mkwun.du ww!....unakera.
Hii fomu ya TSM9 huwa hapaswi kuiona mwanafunzi husika au mwajiriwa. Kwa sababu ya usiri wa maendeleo ya kitaaluma na wasifu wa mfanyakazi anapokuwa kazini.We fala tu mmoja eti umekuwa wa kwnza 2007 labda umewaongoza CCM.
Hafu ulivyokuwa boya unatuambia umeambiwa utoe TSM9 na mwajili wako hahahahahahaha kawadangnye kwenu huko kiazi ww wakati hzo mambo ziko drasa la saba we jamaa unatounaje humu ndani aisee nimekuweka ignore list chapu maana ni bonge la mpumbavu!
Uko sahihi kabisa! Lakini kwa nchi ya Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla huwa zina mtindo unaofanana wa kutoa orodha ya wanafunzi waliofanya vizuri katika mitihani yao ya taifa.
Kila mtu na kipaumbele chake katika maisha, kwahiyo hayo pia ni maamuzi yake.Na kuna hao maTO kama Kelvin Marambo yuko huko kamaliza kusoma Havard eti kachagua Bioengeering, sasa hii itasaidia nini kwetu
zaidi ya yeye anachanganya madawa tu laboratory kukamilisha project za wazungu, badala ya kuwa Doctor aje kuuokoa maisha ya mama na mtoto (maternal mortality rate)
Hata uTO kama huna akili jamii ni upuuzi mtupu.
Ahaa! We jamaa unabishana na ukweli.Hao ni matapeli! Orodha ya wanafunzi bora kitaifa imeanza kutangazwa rasmi mwaka 2016.
Hizo orodha za kuanzia mwaka 2016, 2017, 2018 na 2019 zipo na zinapatikana hata kwenye mitandao ya kijamii lakini orodha ya kuanzia mwaka 2015 kushuka chini hakuna orodha yoyote nikimaanisha hakuna kilichokuwa kinatangazwa kwa jamii.
Na hata huyu Elias Kihombo hakuongoza mwaka 2006 na hakuna anayejua kwa sababu hizo orodha zilikuwa hazitangazwi.
Ndio maana nikasema kama hiyo orodha ipo naomba utuoneshe. That's all!
Kelvin Malambo hakuwahi kuwa T.O wala kuingia list ya ma To's ila alikuwa tu na uwezo darasani, alisoma Ilboru.Na kuna hao maTO kama Kelvin Marambo yuko huko kamaliza kusoma Havard eti kachagua Bioengeering, sasa hii itasaidia nini kwetu
zaidi ya yeye anachanganya madawa tu laboratory kukamilisha project za wazungu, badala ya kuwa Doctor aje kuuokoa maisha ya mama na mtoto (maternal mortality rate)
Hata uTO kama huna akili jamii ni upuuzi mtupu.
yaani hawa maboya wanatuona wote ni kama wao.Kelvin Malambo hakuwahi kuwa T.O wala kuingia list ya ma To's ila alikuwa tu na uwezo darasani, alisoma Ilboru.
tuambie wewe Tanzanian one 2006 alikua Nani.Hmm! Mimi binafsi namfahamu kwa sababu alinifundisha masomo ya dhiada [ tuition ] ya Physics na Mathematics mwaka 2009.
Kusema ukweli, Elias Kihombo yuko vizuri kwenye kufundisha masomo ya Physics na Mathematics.
Lakini hii isiwe sababu ya yeye kujitangaza kuwa aliongoza kidato cha sita mwaka 2006 na kupata wastani wa 98!
Hivi kwani siku hizi baraza la mitihani [ NECTA ] wanatoa hadi wastani? Jibu ni hakuna!
Sasa kama hiyo orodha ipo ya yeye kuongoza kidato cha sita tunaomba tuione! Jibu ni haipo!
huyo jamaa Ana wivu wa kike hua anaumia Sana kuona mwanaume mwenzake anasifiwa, huyo ata akisikia demu wake anaimba nyimbo ya msanii roho inamuuma anatamani angekua msanii aimbwe yeye, wivu ugonjwa mbaya unaweza ukawa na maisha mazuri lakini unakonda tu.We fala hujui hafu unakera hfu mbishi kama shipa
List ya ma-TO
2020 mwka huu sijui
2019 mwaka huu sijui
2018 mwaka huu sijui
2017 dogo mmoj kutoka mazinde juu PCB
2016 dogo mmoja hv kutoka tabor boys PCM
2015 dogo PCM kutoka Fez boys PCB
2014 dogo kutoka st joseph ya posta PCM huyu alikuwa na 4 phys alipata B huyu alipata A ya computer optinal huu mwaka TO alikuwa na points 4
2013 dogo mmoja w iliboru huu mwaka TO alikuwa na one ya tano mwaka huo physcs ilianzia C wadau kibao walidondoka muhas na two za PCD na D za kutosh tu
2012 TO alikuwa demu kutoka marian
2011 huku ndo jamaa wa kuitwa muhagachi from kibaha PCM
2007 Jamaa wetu w Pugu now ni PHd holder EGM
Hii list hapo sijaingia google ni kumbukumbu za kichwani tu
Acha ubishi wa kiseng.e we jamaa hizi list unfikiri tumezitunga mkwun.du ww!....unakera.
Wee jamaa TSM9 na kutangazwa kwa TO vinahusianaje????[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yani unatumiq nguvu kubwa kubisha alafu badala ya kubisha unasupport wanachosema wengine. Kutangazwa T.O tanzania imeanza kitambo sanaa yani sanaa sasa wewe unasema 2016 sijui umeitoa wapi??Kila mtu na kipaumbele chake katika maisha, kwahiyo hayo pia ni maamuzi yake.
TSM9 si ni Takwimu za Shule za Msingi kwa mwanafunziKila mtu na kipaumbele chake katika maisha, kwahiyo hayo pia ni maamuzi yake.
Naam! Sasa watu wengi wanafahamu kuwa huyu mwanafunzi nayeye aliongoza, kumbe hamna kitu kama hicho! Hopeless kabisa!Kelvin Malambo hakuwahi kuwa T.O wala kuingia list ya ma To's ila alikuwa tu na uwezo darasani, alisoma Ilboru.
Mimi sijawahi kuiona hiyo orodha ya wanafunzi bora mwaka wa 2006 na haipo. Kama hiyo orodha ipo tuonesheni!tuambie wewe Tanzanian one 2006 alikua Nani.
πππ Ila Jamiiforums raha sana! Yamekuwa haya tena!huyo jamaa Ana wivu wa kike hua anaumia Sana kuona mwanaume mwenzake anasifiwa, huyo ata akisikia demu wake anaimba nyimbo ya msanii roho inamuuma anatamani angekua msanii aimbwe yeye, wivu ugonjwa mbaya unaweza ukawa na maisha mazuri lakini unakonda tu.
TSM9 ni taarifa za kitaaluma za mwanafunzi husika, tangu chekechea mpaka chuo kikuu.Wee jamaa TSM9 na kutangazwa kwa TO vinahusianaje????[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuwa makini!Yanitumiqbwa kubisha alafu badala ya kubisha unasupport wanachosema wengine.
Hmm! Hivi unaona jinsi matokeo ya wanafunzi bora yanavyotangazwa sasa hivi?Kutangazwa T.O tanzania imeanza kitambo sanaa yani sanaa sasa wewe unasema 2016 sijui umeitoa wapi??
πππ ona mambo haya sasa! Jamani Jamiiforums sihami!TSM9 si ni Takwimu za Shule za Msingi kwa mwanafunzi
[SUB]Kaka kwamba unakataa mdau hakuwa T. O au ? [/SUB]TSM9 ni taarifa za kitaaluma za mwanafunzi husika, tangu chekechea mpaka chuo kikuu.
Chochote utakachokifanya kwenye maendeleo ya kitaaluma kinaorodheshwa kwenye hii fomu.
Hata zile barau za utovu wa nidhamu ambapo mwanafunzi huandika kipindi ambapo yupo shule au chuo kikuu zinaorodheshwa kwenye faili lako.
Kwa hiyo matokeo halisi ya wanafunzi husika yapo kwenye faili la kitaaluma, popote pale litakufuata.
Kuwa makini!
Hmm! Hivi unaona matokeo ya wanafunzi bora yanavyotangazwa sasa hivi?
Leta matokeo ya wanafunzi bora ya kidato cha sita ya mwaka wa 2006 ampabo Elias Kihombo ameongoza ππ
Ndio[SUB]Kaka kwamba unakataa mdau hakuwa T. O au ? [/SUB]
Sasa nani alikuwa T. O kwa mwake ambao watu walikuwa wanamsabisha kuwa yeye ni T. O ? naomba utuwekee ushahidi.Ndio