Mfahamu T.O Kihombo 2006 aliyepata Degree yake ya Kwanza baada ya Miaka 11

Kwani Elimu ni nini kaka mkubwa ? Kujua kuandika Kiingereza ndiyo unakuwa mjinga au hujaelewa au inakuwaje ? Na nani anapaswa ajue Kiingereza katika nchi kama yetu ?
 
Je kama alipewa alama zake, kisha akatafuta Wastani wa alama hizo na kupa Wastani wa 98. Huo Wastani unakuwa siyo mpaka utangaziwe ?

Au yeye anaposema amepata wastani wa 98,huwa anasema ameambiwa hivyo baraza ?
 
Sasa mkuu kutangazwaa Kuwa T.O sio kwamba Itaandikwa kwenye Cheti chako mzeee[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Zaidi zaidi utapewa certificate inayokutambulisha kuwa ulikuwa Best if kipo au inawezekana hakuna kabisaaa hicho cheti just Wanatangaza tu na kuweka kwenye kumbukumbu zao huko Necta. Lipumba alikuwa T.O kwa Comb ya EGM kitu ambacho hakijawahi tokea sasa just imagine toka enzi lipumba anasoma mpaka leo hii historia ipo means system ilianza zamani ila sio kama unavyodhani wewe kuwa lazima upewe cheti sijui[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hivi yule jamaa anayeongoza kwa kusolve millenium problems anaitwa nan nmemsahau
Yametatuliwa na wanataaluma mbalimbali. Ila alifanya jambo la ajabu ni huyu aliyesolve Poincare conjecture ). Mrusi ( Grigor Perelman) aliyekataa dola milioni moja kama zawadi ya kazi yake problem. Halafu hii njemba inaishi kwao kwa mama ake. Hawa jamaa wenye akilinyingi sijui wakoje.
 
Huyu jamaa naona kaamua kujimwambafy anatuchafulia Uzi[emoji44]
 
Dah kweli akil tu haikufany ufanikiwe nidhsm pia ni mhm
 
Anakwamaa sanaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
ndio maana social network nyingine unapotaka kujiunga Kuna short survey ya kugundua Kama wewe unaetaka kujiunga ni binadamu au ni robot kuepuka outomatic reply ambayo itakupotezea muda au kukuletea shida nyingine ata kukupelekea kutapeliwa, maana huyu jamaa anaubishi Si wa kibinadamu.
JF mfike uko Sasa maana Kuna viumbe waajabu washaanza kuvamia huu mtandao.
 
Sema wewe Ndo unajua alikuwa T. O maana wewe ndio umeyasema hapa hakuna mwingine aliyesema hao watu unaowasingizia kuwa wanajua alikuwa T. O Ni wewe na watu wa aina yako
By the way msalimie Mzee Kisandu hapo Rock City
Naam! Sasa watu wengi wanafahamu kuwa huyu mwanafunzi nayeye aliongoza, kumbe hamna kitu kama hicho! Hopeless kabisa!
 
Invisible = unseen (esp. By naked eyes)
Invincible = undefeated

Sijui kwanini tusiwe tunaandika kwa Kiswahili tu
 
Sema wewe Ndo unajua alikuwa T. O maana wewe ndio umeyasema hapa hakuna mwingine aliyesema hao watu unaowasingizia kuwa wanajua alikuwa T. O Ni wewe na watu wa aina yako
By the way msalimie Mzee Kisandu hapo Rock City
Mimi sipo Mwanza na hata Mzee Kisandu simfahamu!
 
Hahahah unachekesha wewe [emoji2][emoji2][emoji1787] [emoji1787][emoji1787]
Ni maigizo hakika! Hivi kwani hata wewe ulishawahi kuiona hiyo orodha ya wanafunzi bora inayoonyesha Elias Kihombo aliongoza kidato cha sita mwaka 2006? Kama ipo mnakwama wapi na sisi wengine tuione?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…