Charles Mandela
JF-Expert Member
- Dec 9, 2011
- 2,752
- 2,282
Sio kutaja taja majina tu, wekeni hizo orodha kama zipo!We jamaa muongo sana na unabisha uaicho kojuwa mi nimemaliza form 1V 2008 nakumbuka T.O wetu alikuwa mhagacha chacha na form six 2011 ila simkimbuki we inaonekana mbiishi tu na huelewi chochote
Na wewe ulikuwa unakaa wapi kipindi hicho?We jamaa wa wapi au ulikuwa unakaa sitimbi huko ulikuwa hata hujui kinacho endelea maana mi nashangaa unabisha na usilo lijua nimebaki nakushangaa tu
Mkuu weendelea kutandika takataka zote.[emoji23][emoji23][emoji23]S unaona jamaa utopolo anaotuletea hapa?
Tuwekee orodha ya wanafunzi bora hata ya hiyo miaka unayoitaja! Sio kusema TO wetu alikuwa nani sijui nani! Hopeless kabisa!We jamaa muongo sana na unabisha uaicho kojuwa mi nimemaliza form 1V 2008 nakumbuka T.O wetu alikuwa mhagacha chacha na form six 2011 ila simkimbuki we inaonekana mbiishi tu na huelewi chochote
Jamaa lofa sana kaletewa orodha ya 2005 lakini bado tu anajitia wazimuMkuu weendelea kutandika takataka zote.
Mbona mnakimbia orodha ya 2006 kidato cha sita? Kuna nini kimejificha hapo 😂😂😂Jamaa lofa sana kaletewa orodha ya 2005 lakini bado tu anajitia wazimu
Wewe fala ulisema hizi orodha zilianza kutolewa mwaka 2016 watu wamekuletea ya 2005 umeanza ufala mwingine upyaMbona mnakimbia orodha ya 2006 kidato cha sita? Kuna nini kimejificha hapo [emoji23][emoji23][emoji23]
Naona bado unaendelea kukwepa kwepa! Nalog out sasa 😂😂Wewe fala ulisema hizi orodha zilianza kutolewa mwaka 2016 watu wamekuletea ya 2005 umeanza ufala mwingine upya
Unakazania lete orodha lete orodha wakati ushaletewa? We ni mjinga kiasi gani? Hata waha sio wabishi
hvo.
Eti Mhagacha Chacha! Sijui jina gani hili hata top 100 [100 bora] halipo labda alikuwa wa 5213 kitaifa 😂😂We jamaa muongo sana na unabisha uaicho kojuwa mi nimemaliza form 1V 2008 nakumbuka T.O wetu alikuwa mhagacha chacha na form six 2011 ila simkimbuki we inaonekana mbiishi tu na huelewi chochote
Halafu hili jina linafanana kama la yule aliyekuwa waziri wa Sheria, PALAMAGAMBA KABUDI 😂😂😂Eti Mhagacha Chacha! Sijui jina gani hili hata top 100 [100 bora] halipo labda alikuwa wa 5213 kitaifa 😂😂
KABUDI alikuwa waziri wa madini lini?Halafu hili jina linafanana kama la yule aliyekuwa waziri wa madini, PALAMAGAMBA KABUDI [emoji23][emoji23][emoji23]
We jamaa hamnazo kabisa cheki sasa eti kabudi alikuwa waziri wa madini we kweli upon sitimbi kwanza sita kujibu mana naona tunabishana na asiye jua loloteHalafu hili jina linafanana kama la yule aliyekuwa waziri wa Sheria, PALAMAGAMBA KABUDI [emoji23][emoji23][emoji23]
TSM9 angalia na hii list Ya mwaka 2009 form sixNaona bado unaendelea kukwepa kwepa! Nalog out sasa [emoji23][emoji23]
Huyo boya akija hapa ataanza kubisha ilimradi tu alete ujinga ujingaTSM9 angalia na hii list Ya mwaka 2009 form six View attachment 1548832View attachment 1548833View attachment 1548834View attachment 1548835
View attachment 1428322View attachment 1428323
Tosa ilikua moja ya shule kali..mshua nae alipita hapo..nilifuma moja ya zawadi alizopata hapo na akawa ameandika kama kumbukumbu nyuma ya hyo zawadi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mara haipo, mara huwezi kuitoa hadharaniKuwa mwanafunzi bora kitaifa sio jambo dogo hata kidogo na sio kitu chepesi, kinahitaji maandalizi ya kujitoa kama mwanafunzi ili kufikia adhma hiyo.
Na nikupe siri nyingine ambayo watu wengi hawafahamu, kwa kila mtihani wa taifa kuanzia darasa la nne, darasa la saba, kidato cha pili, kidato cha nne na kidato cha sita huwa kuna orodha ya matokeo ya wanafunzi kuanzia wakwanza mpaka wamwisho kitaifa.
Lakini matokeo ya darasa la saba, kidato cha nne na kidato cha sita huwa yanauzito kwa sababu yanakuwa ni ngazi ya kwenda hatua nyingine.
Na serikali huwa inaamua kutangaza wanafunzi kumi [10 bora] waliofanya vizuri kitaifa tu lakini ilikuwa na uwezo wa kutangaza hata [20 bora] au hata [50 bora] kama ikitaka, kwa sababu orodha ya watahiniwa wote ipo - wakwanza mpaka wamwisho.
Sasa kwa miaka ya nyuma, serikali ilikuwa haitoi hizi orodha kama inavyotoka wakati huu. Ndio maana kulikuwa na ulaghai na udanganyifu wa kutisha kwenye kuwasilisha matokeo kwa nakala ya vyeti.
Kwa kesi ya Elias Kihombo, hakuongoza yeye na hauwezi kusema ana wastani wa 98 kwa sababu hiyo orodha haipo na haikutangazwa hadharani. Na mimi siwezi kuitoa hadharani kwa sababu hizo orodha huwa ni nyaraka za serikali, zisipotangazwa zinabaki kuwa ni siri za serikali.
Inabidi yeye mwenyewe Elias Kihombo atuambie au wale wanaosema aliongoza kidato cha sita watuoneshe hiyo orodha na sio tofauti na hapo.
Aisee.Kihombo Elias aliacha tulikula Wali wiki nzima aisee miaka hiyo. Headmaster alitoa bonus kwamba Vijana mtakula wali wiki nzima kwa kitendo cha kupata T.O.
Huyu mwanafunzi alisoma shule ya seminari kidato cha nne, sasa hivi anahangaika mtaani.Kuna Civil Engineer kutoka chuo kikuu cha Dar Es Salaam [UDSM] anachonga madirisha.
Na ukiangalia vyeti vyake ana matokeo mazuri tu ya kidato cha nne na kidato cha sita.
Matokeo ya kidato cha nne ana division one ya point 7 [2008] na matokeo ya kidato cha sita ana division one ya point 7 [2011].
Lakini TSM9 inagoma! Hii fomu ndio inayotoa taarifa sahihi za mwanafunzi husika.
TSM9 inasoma kidato cha nne alipata division one ya point 11 na kidato cha sita alipata division three ya point 13.
Kwahiyo inaonekana kuna udanganyifu ulifanyika katika kuwasilisha matokeo ya huyu mwanafunzi kwenye nakala za matokeo, yaani vyeti.
Hapa inaonekana ilitumika rushwa! Kama tunavyofahamu shule binafsi zinavyofanya ili kuvutia wateja.
Na matatizo kama haya ndio atapata muhitimu pale atakapohitimu masomo yake na kuanza kutafuta ajira.