Charles Mandela
JF-Expert Member
- Dec 9, 2011
- 2,752
- 2,282
Yaani Profesa PALAMAGAMBA KABUDI unamuita mjinga mjinga, hivi wewe ukoje lakini? Umefundishwa kutukana watu mitandaoni!KABUDI alikuwa waziri wa madini lini?
Mjinga jinga flani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani Profesa PALAMAGAMBA KABUDI unamuita mjinga mjinga, hivi wewe ukoje lakini? Umefundishwa kutukana watu mitandaoni!KABUDI alikuwa waziri wa madini lini?
Mjinga jinga flani
Hmm! Mimi nataka uniambie ulikuwa wapi kipindi hicho ili nikupe ofa maana nimeenea TANZANIA nzima.We jamaa hamnazo kabisa cheki sasa eti kabudi alikuwa waziri wa madini we kweli upon sitimbi kwanza sita kujibu mana naona tunabishana na asiye jua lolote
Mpumbavu usinipotezee mdaYaani Profesa PALAMAGAMBA KABUDI unamuita mjinga mjinga, hivi wewe ukoje lakini? Umefundishwa kutukana watu mitandaoni!
Hii ndio inavyotakiwa, sio kutaja taja majina tu. Hao wengine naona walitumwa kuvuruga huu uzi, sijui ni watumishi wa NECTA na wanaogopa kutumbuliwa.TSM9 angalia na hii list Ya mwaka 2009 form six View attachment 1548832View attachment 1548833View attachment 1548834View attachment 1548835
Sio Martin jegere Ni Martin Chegera Ni Sasa Ni Dr Martin Chegere and PhD from Gothenburg Sweden at his 30 something .Issue ya Martin Jegere au Elias Kihombo? Hivi kuna haja ya kumfahamu kila mtu?
Huu uzi ni unahusu Elias Kihombo huyu mwingine hausiki hata kidogo.
Na wewe iweke kama unayo, mbona mnakwepa kuna nini kimejificha hapo?Mara haipo, mara huwezi kuitoa hadharani
Maana yake unayo lakini huwezi kwa sababu ni nyaraka ya serikali
Hii bhange
Hahahaha Ila wewe utakuwa retardSio kutaja taja majina tu, wekeni hizo orodha kama zipo!
Eti Mhagacha Chacha! Jina gani sijui! Hili jina halipo hata top 50 [ 50 bora]. Hizi orodha mnazitoa wapi?
Hivi unafahamu unachotakiwa kufanya? Sio kutaja majina! Ni kuweka orodha ya mwanafunzi bora hapa [emoji23][emoji23]
Na wewe ni wale wale tu!Mpumbavu usinipotezee mda
Sasa huu ndio ujinga tuonasema!Sio Martin jegere Ni Martin Chegera Ni Sasa Ni Dr Martin Chegere and PhD from Gothenburg Sweden at his 30 something .
Yuko idara ya uchumi UDSM
To from Primary hadi Form six
Usilete za kuleta hapa eboo!!
Wewe kama ulifeli usiwaletee lawama Necta fala weweWewe utakuwa ni mtumishi wa hapo NECTA, maana sio kwa kujitoa fahamu huku!
Hapo NECTA ni jipu, ndio mnaowapa shida wahitimu wa TANZANIA.
Tatizo halipo kwa wanafunzi, tatizo lipo kwa NECTA, wanapika matokeo ya wanafunzi. Yaani tatizo ni Baraza la Mitihani [ NECTA ] sio wahitimu.
Sijui tunachobishana ni nini, kwa sababu kila kitu kipo wazi! Tatizo sio wahitimu, tatizo ni NECTA.MA_mandela
KU_ kubwa jinga
Wewe ni NYAU! Nimefeli wapi wakati mimi mwenzio ni muhandisi 😂😂😂Wewe kama ulifeli usiwaletee lawama Necta fala wewe
Unataka kila mtu ataje taaluma yake hapa?Nimefeli wapi wakati mimi mwenzio ni muhandisi na isitoshe kufeli haipo kwenye historia ya maisha yangu [emoji23][emoji23][emoji23]
Nenda NECTA kaulize huko! Eti who is MANDELA CHARLES?Unataka kila mtu ataje taaluma yake hapa?
Mbona za kiyombo huamini na sisi tutakuamin vipi kuwa we mhandisi? Weka vyeti hapa kuanzia form four, f a k e n ww
Kwahiyo wewe kisandu umeshindwa nini kwenda necta kumuulizia Elias kiyombo na martin chegere ni nani?Nenda NECTA kaulize huko! Who is MANDELA CHARLES?
Mbona mnakwepa? Aah! Ngoja niishie zangu POLITICAL PALACE.Kwahiyo wewe kisandu umeshindwa nini kwenda necta kumuulizia Elias kiyombo na martin chegere ni nani?
Unajua maana ya TSM9?!? Tuanzie hapoHii fomu ya TSM9 huwa hapaswi kuiona mwanafunzi husika au mwajiriwa. Kwa sababu ya usiri wa maendeleo ya kitaaluma na wasifu wa mfanyakazi anapokuwa kazini.
Ikitokea mfanyakazi anafanya au amepata kazi nje ya mipaka yake ya kitaaluma, yaani nchi nyingine basi mwajiri wake atalazimika kufuatilia taarifa za mfanyakazi wake nchi alipotoka.
Nadhani hii inaelewaka kwa kila mtu aliyewahi kuajiriwa na sio kitu kigeni.
Mkuu wahi hospital unaumwaTSM9 ni taarifa za kitaaluma za mwanafunzi husika, tangu chekechea mpaka chuo kikuu.
Chochote utakachokifanya kwenye maendeleo ya kitaaluma kinaorodheshwa kwenye hii fomu.
Hata zile barau za utovu wa nidhamu ambapo mwanafunzi huandika kipindi ambapo yupo shule au chuo kikuu zinaorodheshwa kwenye faili lako.
Kwa hiyo matokeo halisi ya wanafunzi husika yapo kwenye faili la kitaaluma, popote pale litakufuata.
Kuwa makini!
Hmm! Hivi unaona jinsi matokeo ya wanafunzi bora yanavyotangazwa sasa hivi?
Leta matokeo ya wanafunzi bora ya kidato cha sita ya mwaka wa 2006 ampabo Elias Kihombo ameongoza [emoji23][emoji23]
Hakuna mwanafunzi anayeitwa Martin Chegere aliyeongoza kuanzia shule ya msingi, kidato cha nne na kidato cha sita.Sio Martin jegere Ni Martin Chegera Ni Sasa Ni Dr Martin Chegere and PhD from Gothenburg Sweden at his 30 something .
Yuko idara ya uchumi UDSM
To from Primary hadi Form six
Usilete za kuleta hapa eboo!!