Mfahamu T.O Kihombo 2006 aliyepata Degree yake ya Kwanza baada ya Miaka 11

Mfahamu T.O Kihombo 2006 aliyepata Degree yake ya Kwanza baada ya Miaka 11

We jamaa hamnazo kabisa cheki sasa eti kabudi alikuwa waziri wa madini we kweli upon sitimbi kwanza sita kujibu mana naona tunabishana na asiye jua lolote
Hmm! Mimi nataka uniambie ulikuwa wapi kipindi hicho ili nikupe ofa maana nimeenea TANZANIA nzima.
 
Issue ya Martin Jegere au Elias Kihombo? Hivi kuna haja ya kumfahamu kila mtu?

Huu uzi ni unahusu Elias Kihombo huyu mwingine hausiki hata kidogo.
Sio Martin jegere Ni Martin Chegera Ni Sasa Ni Dr Martin Chegere and PhD from Gothenburg Sweden at his 30 something .

Yuko idara ya uchumi UDSM

To from Primary hadi Form six

Usilete za kuleta hapa eboo!!
 
Mara haipo, mara huwezi kuitoa hadharani

Maana yake unayo lakini huwezi kwa sababu ni nyaraka ya serikali

Hii bhange
Na wewe iweke kama unayo, mbona mnakwepa kuna nini kimejificha hapo?
 
Sio kutaja taja majina tu, wekeni hizo orodha kama zipo!

Eti Mhagacha Chacha! Jina gani sijui! Hili jina halipo hata top 50 [ 50 bora]. Hizi orodha mnazitoa wapi?

Hivi unafahamu unachotakiwa kufanya? Sio kutaja majina! Ni kuweka orodha ya mwanafunzi bora hapa [emoji23][emoji23]
Hahahaha Ila wewe utakuwa retard
 
Sio Martin jegere Ni Martin Chegera Ni Sasa Ni Dr Martin Chegere and PhD from Gothenburg Sweden at his 30 something .

Yuko idara ya uchumi UDSM

To from Primary hadi Form six

Usilete za kuleta hapa eboo!!
Sasa huu ndio ujinga tuonasema!

Hebu weka hata hizo orodha zinazoonesha huyu aliongoza tangu shule ya msingi mpaka kidato cha sita!

Halafu kaangalie na wasifu wangu [ MANDELA CHARLES ] tangu 2003 nikiwa shule ya msingi, 2007 nikiwa kidato cha nne na 2010 nikiwa kidato cha sita.

Uone nani ni mkali? ELIAS KIHOMBO nimemchapa fimbo kwa wasifu wa kitaaluma ndio maana humuoni humu, anapita kimya kimya tu.

Huyo MARTIN CHEGERE ndio nani kwenye msitu wa elimu? Leteni hizo orodha zinazoonesha huyu na yeye aliongoza, sio kutaja taja majina tu.
 
Wewe utakuwa ni mtumishi wa hapo NECTA, maana sio kwa kujitoa fahamu huku!

Hapo NECTA ni jipu, ndio mnaowapa shida wahitimu wa TANZANIA.

Tatizo halipo kwa wanafunzi, tatizo lipo kwa NECTA, wanapika matokeo ya wanafunzi. Yaani tatizo ni Baraza la Mitihani [ NECTA ] sio wahitimu.
Wewe kama ulifeli usiwaletee lawama Necta fala wewe
 
MA_mandela
KU_ kubwa jinga
Sijui tunachobishana ni nini, kwa sababu kila kitu kipo wazi! Tatizo sio wahitimu, tatizo ni NECTA.

Maana taarifa za NECTA zingekuwa wazi kusingekuwa na haya malumbano.

Wahitimu wanapata shida sana kwenye vetting kwa sababu matokeo yaliyopo kwenye cheti yanakuwa ni tofauti na matokeo yanayosoma kwenye TSM9.

Ifahamike kuwa mbali na TSM9, huwa kuna kitabu cha wahitimu ambacho kinaonesha mwanafunzi wa kwanza mpaka wa mwisho kitaifa.

Kitabu hiki huwa kinatoka kila mwaka kwa madarasa husika - yaani darasa la saba, kidato cha nne na kidato cha sita.

Huwa pia kuna kitabu cha wahitimu wa darasa la nne na kidato cha pili, sema hivi vitabu huwa vinaorodha ya wanafunzi waliofanya mitihani na matokeo yao kupangwa kimikoa tu.

Na hivi vitabu huwa havipatikani Baraza la Mitihani [ NECTA ] pekee yake, bali huwa vinapatikana pia Wizara ya TAMISEMI kwa sababu elimu ya msingi huwa ipo chini ya hii wizara, Wizara ya ELIMU, Wizara ya MUUNGANO na ofisi ya RAIS yaani IKULU.

Kwahiyo sio kitu cha kubeza, ifahamike kuwa matokeo halisi ndio yamebeba uhai wa wahitimu na ikitokea matokeo halisi yapo tofauti na matokeo ya kwenye cheti ndio haya matatizo yanayotokea wahitimu wengi kukosa ajira ingali ajira zipo!

Kwahiyo tatizo sio wahitimu, tatizo ni NECTA kwa sababu ukiingia kwenye sekta ya ajira, muajiri hawezi kuaminika na matokeo ya kwenye karatasi tu lazima uhakiki uwepo ili kuhakikisha yale yaliyomo kwenye cheti ndio matokeo halisi?

Ikitokea ni tofauti, kwa lugha ya kitaaluma wasema vetting disclosure yaani hamna kitu hapo. Sasa hapa tatizo sio wahitimu, tatizo ni NECTA.

Na huko tunapoenda, upishi wa matokeo ukiendelea hivi, ajira nyingi za Watanzania zitachukuliwa na wageni hasa kutoka KENYA na UGANDA.

Sasa hii tabia ya NECTA inabidi ikemewe vikali kwa masilahi ya wahitimu kwanza na taifa kwa ujumla maana tunapata wahitimu wabovu kwa sababu ya rushwa!. Na kuacha wale waliokuwa wanafaa kihalali tangu shule ya msingi mpaka kidato cha sita.

Chuo Kikuu huwa hatutazamii sana kwa sababu kila chuo huwa kina silabasi zake na kila chuo kina GPA zake. Kwahiyo nauwezo wa kuchukua LOWER SECOND ya UDOM au MZUMBE nikaacha FIRST CLASS ya TUMAINI au SAUT.

Turudi kwenye mada husika sasa! Matokeo ya wanafunzi bora ni muhimu sana hata kwa miaka ya nyuma kwa sababu na wao pia wapo kwenye soko la ajira.

Ni hayo tu kwa leo!
 
Nimefeli wapi wakati mimi mwenzio ni muhandisi na isitoshe kufeli haipo kwenye historia ya maisha yangu [emoji23][emoji23][emoji23]
Unataka kila mtu ataje taaluma yake hapa?

Mbona za kiyombo huamini na sisi tutakuamin vipi kuwa we mhandisi? Weka vyeti hapa kuanzia form four, f a k e n ww
 
Hii fomu ya TSM9 huwa hapaswi kuiona mwanafunzi husika au mwajiriwa. Kwa sababu ya usiri wa maendeleo ya kitaaluma na wasifu wa mfanyakazi anapokuwa kazini.

Ikitokea mfanyakazi anafanya au amepata kazi nje ya mipaka yake ya kitaaluma, yaani nchi nyingine basi mwajiri wake atalazimika kufuatilia taarifa za mfanyakazi wake nchi alipotoka.

Nadhani hii inaelewaka kwa kila mtu aliyewahi kuajiriwa na sio kitu kigeni.
Unajua maana ya TSM9?!? Tuanzie hapo
 
TSM9 ni taarifa za kitaaluma za mwanafunzi husika, tangu chekechea mpaka chuo kikuu.

Chochote utakachokifanya kwenye maendeleo ya kitaaluma kinaorodheshwa kwenye hii fomu.

Hata zile barau za utovu wa nidhamu ambapo mwanafunzi huandika kipindi ambapo yupo shule au chuo kikuu zinaorodheshwa kwenye faili lako.

Kwa hiyo matokeo halisi ya wanafunzi husika yapo kwenye faili la kitaaluma, popote pale litakufuata.
Kuwa makini!

Hmm! Hivi unaona jinsi matokeo ya wanafunzi bora yanavyotangazwa sasa hivi?

Leta matokeo ya wanafunzi bora ya kidato cha sita ya mwaka wa 2006 ampabo Elias Kihombo ameongoza [emoji23][emoji23]
Mkuu wahi hospital unaumwa
 
Sio Martin jegere Ni Martin Chegera Ni Sasa Ni Dr Martin Chegere and PhD from Gothenburg Sweden at his 30 something .

Yuko idara ya uchumi UDSM

To from Primary hadi Form six

Usilete za kuleta hapa eboo!!
Hakuna mwanafunzi anayeitwa Martin Chegere aliyeongoza kuanzia shule ya msingi, kidato cha nne na kidato cha sita.

Lakini kuna wanafunzi waliongoza kimasomo kuanzia darasa la saba, kidato cha nne na kidato cha sita.

Huyu Martin Chegere hata Elias Kihombo ni mkali! Huyu si chochote si lolote!

Nasema hivyo kwa sababu takwimu zipo na huwa hazidanganyi.
 
Halafu hii tabia ya kujikweza kitaaluma ipo sana Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam [ UDSM ] mpaka wengine wanadiriki kusema uongo!

Kama huyu Martin Chegere hakuwahi kuongoza mara tatu na wala hayupo kwa wale wanafunzi waliowahi kufanya vizuri NECTA.

Ngoja niwape siri nyingine - "Majina ya wanafunzi waliofanya vizuri kitaifa - kuanzia darasa la nne, darasa la saba, kidato cha pili, kidato cha nne na kidato cha sita huwa yanahifadhiwa IKULU na kuandikwa kwa wino wa dhahabu.

Huwa wanayaita Golden Ink Personnel [ GIP ] au wengine huwa wanaita VIP.

Sasa huyu Martin Chegere sio GIP wala VIP, ni muhuni muhuni tu. Hawa ndio wajanja wajanja, wale walionufaika kwa madhaifu ya NECTA 😂😂😂

Inabidi mfungue uzi unaomuhusu huyu Martin Chegere maana inaonekana hata Elias Kihombo ana nafuu Lol!
 
Back
Top Bottom