Nguzo kuu ya akina RAMA ni lile shirika la ujasusi hatari zaidi duniani. Usidhani CIA au FBI, hapana.
Ni NSA! Maana yake kwa kirefu ni National Security Agency, hii ni taasisi ambayo iko juu kuliko hata TISS.
Na hii taasisi ndio huwa wana orodha ya kupunguza [ ⚰️ ] watu kwa masilahi ya taifa, wao huwa wanadai ni masilahi ya taifa lakini huwa ni kulinda masilahi ya RAMA na masilahi ya Chama Tawala.
Hiyo orodha ya kupunguza [ ⚰️ ] watu huwa wanaita LOD maana yake kwa kirefu ni
List Of Death kwa masilahi ya taifa. Lakini huwa si masilahi ya taifa, huwa ni masilahi ya RAMA na masilahi ya Chama Tawala.
Sasa hii LOD [ List Of Death ] huwa inapatikana vipi? Na ni watu gani ambao huwa wanaorodheshwa kwenye hii orodha ya kupunguzwa [ ⚰️ ]?
Hii LOD [ List Of Death ] ni mfumo wa kiutawala ambao Tanzania iliakisi kutoka kwa Muungano wa Nchi za Kisovieti, yaani iliyokuwa Urusi ya zamani. Ni mfumo ambao unatumika kupunguza [ ⚰️ ] raia wa nchi kwa masilahi mapana ya taifa.
Orodha au makundi yanayoingia hapa, kwenye hii orodha ya kupunguza [ ⚰️ ] yaani LOD [ List Of Death ] huwa yamegawanyika kwenye makundi yafuatayo: Viongozi waandamizi wa kiserikali [ makatibu wa wizara, mabalozi, wakuu wa majeshi na ulinzi, na idara ya mahakama ], Wanasiasa [ hii imejumuisha wanasiasa wote wa Upinzani na Chama Tawala ], Wafanyabiashara, Wasanii na Wanamichezo wenye ushawishi kwa jamii halafu kundi la mwisho huwa ni Wanafunzi [ hii inajumuisha wanafunzi wa kila rika yaani darasa la saba, kidato cha nne na kidato cha sita ].
Hii LOD [ List Of Death ] inajumuisha watu wote wasiokuwa miongoni mwa zile kabila zinazopatikana mkoa wa RAMA.
Sasa tuangazie kundi la wanafunzi ambalo ndilo linalogusa sekta nzima ya elimu na upangaji wa matokeo ya wanafunzi bila ya kuzingatia matokeo halisi.
Vile vile hili ni Jukwaa la Elimu, kwa hiyo ni lazima tujadili mambo yanayohusu elimu, hayo mengine yana nafasi yake kwenye majukwaa husika lakini SIASA ina nafasi kubwa sana, tena inagusa sekta zote.
Kwa upande wa elimu, hii LOD [ List Of Death ] huwa inagusa wanafunzi wote waliongoza kitaifa kuanzia darasa la saba, kidato cha nne na kidato cha sita halafu hawakutangazwa na mamlaka husika, yaani Baraza la Mitihani [ NECTA ].
Hii LOD [ List Of Death ] huwa inachukua orodha ya wanafunzi bora waliongoza kitaifa katika kila somo lililosajiliwa na Baraza la Mitihani yaani NECTA na ile orodha ya wanafunzi bora waliongoza kitaifa kwa ujumla.
Kwa mfano: Kwa shule ya msingi, huwa kuna orodha ya wanafunzi kumi [ 10 ] waliofanya vizuri kitaifa katika kila somo lililosajiliwa na Balaza la Mitihani yaani NECTA na orodha ya wanafunzi kumi bora [ 10 ] waliofanya vizuri kitaifa.
Yaani kwa mtihani wa darasa la saba, huwa kuna orodha ya wanafunzi kumi [ 10 ] waliofanya vizuri kitaifa katika somo la Hisabati, huwa kuna orodha ya wanafunzi kumi [ 10 ] waliofanya vizuri kitaifa katika somo la Kiingereza, huwa kuna orodha ya wanafunzi kumi [ 10 ] waliofanya vizuri kitaifa katika somo la Kiswahili, huwa kuna orodha ya wanafunzi kumi [ 10 ] waliofanya vizuri kitaifa katika somo la Maarifa ya Jamii na huwa kuna orodha ya wanafunzi kumi [ 10 ] waliofanya vizuri kitaifa katika somo la Sayansi.
Hawa wanafunzi wote walipaswa kutangazwa hadharani na mamlaka husika yaani Baraza la Mitihani, NECTA lakini huwa hawafanyi hivyo. Kinachofanyika, orodha zote hizi zinafanyiwa kazi na hii taasisi ya NSA na baadhi ya wale wanafunzi waliofanya vizuri huingizwa kwenye ile orodha ya LOD [ List Of Death ].
Na kwa shule ya sekondari yaani kidato cha nne, huwa kuna wanafunzi kumi [ 10 ] waliofanya vizuri kitaifa katika kila somo lililosajiliwa na Baraza la Mitihani yaani NECTA na wanafunzi kumi bora [ 10 ] waliofanya vizuri kitaifa.
Na hufanyika vivyo hivyo na kwa mtindo ule ule kama inavyofanyika kwa wanafunzi waliofanya vizuri kitaifa katika kila somo lililosajiliwa na Baraza la Mitihani yaani NECTA na wale wanafunzi waliofanya vizuri kitaifa kwa ujumla, wote hawa huingizwa kwenye ile orodha ya LOD [ List Of Death ] na kuanza kufanyiwa kazi.
Tena, na kwa shule ya sekondari yaani kidato cha sita, huwa kuna orodha ya wanafunzi kumi [ 10 ] waliofanya vizuri kitaifa katika kila somo lililosajiliwa na Baraza la Mitihani yaani NECTA na wanafunzi kumi bora [ 10 ] waliofanya vizuri kitaifa.
Hapa napo, kwa kidato cha sita, huwa kuna mtindo ule ule kama inavyofanyika kwa wanafunzi waliofanya vizuri kitaifa katika shule ya msingi na sekondari yaani kidato cha nne.
Orodha inayopatikana kwa wanafunzi waliofanya vizuri kitaifa katika kila somo lililosajiliwa na Baraza la Mitihani yaani NECTA na ile orodha ya wanafunzi waliofanya vizuri kitaifa, zote huingizwa kwenye ile orodha ya LOD [ List Of Death ] na kuanza kufanyiwa kazi na hii taasisi ya NSA.
Hii NSA [ National Security Agency ] ndio inatoa hatima ya kupunguzwa [ ⚰️ ] au kutokupuzwa kutokana na taarifa za awali za muhusika.
Huu mfumo, Tanzania iliakisi kutoka kwa taifa lililokuwa Muungano wa Nchi za Kisovieti yaani iliyokuwa Urusi ya zamani na mfumo huu, mataifa mengi ya kiafrika yaliakisi kutoka kwa Urusi ya zamani.
Nchi zilizokuwa zinatumia mfumo kama huu ni Kenya ambapo mfumo huu wa elimu ulikoma baada ya mabadiliko ya kisiasa yaliyoongozwa na Rais mstaafu wa Jamhuri ya Watu wa Kenya, Mwai Kibaki.
Nchi nyingine iliyoakisi mfumo wa elimu kama huu ni Uganda, lakini mfumo huu ulikoma baada ya mapinduzi ya kijeshi yaliyoongozwa na Yoweri Kaguta Museveni.
Mataifa mengine yaliyoakisi mfumo wa elimu kama huu, yalikuwa ni Rwanda na Burundi lakini huu mfumo wa elimu ulikoma mwaka 1994 baada ya mapinduzi ya kijeshi.
Hii ndio Nyeupe na Nyeusi [ Black and White ], hali halisi na taswira kamili ya mfumo wa elimu ya Tanzania na hatima yake ndio hiyo, kama ilivyofanyika kwa mataifa ya Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi ni MABADILIKO YA KISIASA.
Yaani, ni kukitoa Chama Tawala madarakani ndio SERENGETI itakuwa imeng'oka na huo ndio utakuwa mwisho wa RAMA.
Iwe kwa SANDUKU LA KURA au kwa MAPINDUZI YA KIJESHI. Na iwe kwa msaada wa MUNGU au kwa msaada wa SHETANI lazima Chama Tawala king'oke ndio mambo kama haya yatabadilika na hiyo ndio SIASA. Nasema hiyo ndio SIASA!