Mfahamu T.O Kihombo 2006 aliyepata Degree yake ya Kwanza baada ya Miaka 11

Mfahamu T.O Kihombo 2006 aliyepata Degree yake ya Kwanza baada ya Miaka 11

Sasa mkuu kutangazwaa Kuwa T.O sio kwamba Itaandikwa kwenye Cheti chako mzeee[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Zaidi zaidi utapewa certificate inayokutambulisha kuwa ulikuwa Best if kipo au inawezekana hakuna kabisaaa hicho cheti just Wanatangaza tu na kuweka kwenye kumbukumbu zao huko Necta. Lipumba alikuwa T.O kwa Comb ya EGM kitu ambacho hakijawahi tokea sasa just imagine toka enzi lipumba anasoma mpaka leo hii historia ipo means system ilianza zamani ila sio kama unavyodhani wewe kuwa lazima upewe cheti sijui[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuwa mwanafunzi bora kitaifa sio jambo dogo hata kidogo na sio kitu chepesi, kinahitaji maandalizi ya kujitoa kama mwanafunzi ili kufikia adhma hiyo.

Na nikupe siri nyingine ambayo watu wengi hawafahamu, kwa kila mtihani wa taifa kuanzia darasa la nne, darasa la saba, kidato cha pili, kidato cha nne na kidato cha sita huwa kuna orodha ya matokeo ya wanafunzi kuanzia wakwanza mpaka wamwisho kitaifa.

Lakini matokeo ya darasa la saba, kidato cha nne na kidato cha sita huwa yanauzito kwa sababu yanakuwa ni ngazi ya kwenda hatua nyingine.

Na serikali huwa inaamua kutangaza wanafunzi kumi [10 bora] waliofanya vizuri kitaifa tu lakini ilikuwa na uwezo wa kutangaza hata [20 bora] au hata [50 bora] kama ikitaka, kwa sababu orodha ya watahiniwa wote ipo - wakwanza mpaka wamwisho.

Sasa kwa miaka ya nyuma, serikali ilikuwa haitoi hizi orodha kama inavyotoka wakati huu. Ndio maana kulikuwa na ulaghai na udanganyifu wa kutisha kwenye kuwasilisha matokeo kwa nakala ya vyeti.

Kwa kesi ya Elias Kihombo, hakuongoza yeye na hauwezi kusema ana wastani wa 98 kwa sababu hiyo orodha haipo na haikutangazwa hadharani. Na mimi siwezi kuitoa hadharani kwa sababu hizo orodha huwa ni nyaraka za serikali, zisipotangazwa zinabaki kuwa ni siri za serikali.

Inabidi yeye mwenyewe Elias Kihombo atuambie au wale wanaosema aliongoza kidato cha sita watuoneshe hiyo orodha na sio tofauti na hapo.
 
Je kama alipewa alama zake, kisha akatafuta Wastani wa alama hizo na kupa Wastani wa 98. Huo Wastani unakuwa siyo mpaka utangaziwe ?

Au yeye anaposema amepata wastani wa 98,huwa anasema ameambiwa hivyo baraza ?
Hakuna kitu kama hicho!
 
Kila mtu ana passion fulani ndani yake. So kama passion yako ww ni kupata pesa nuingi, mwingine passion yake ni kufundisha, mwingine kuvumbua.. na n.k

Nilivyo muelewa mtoa post ni kwamba jamaa ni genius but aliamua kufuata passion yake regardless alichokisomea. Most of genius huwa wanaona regular job ni boring so huwa wanafuata passion zao.
Kwa nini hakusomea ualimu sasa?
 
We fala tu mmoja eti umekuwa wa kwnza 2007 labda umewaongoza CCM.


Hafu ulivyokuwa boya unatuambia umeambiwa utoe TSM9 na mwajili wako hahahahahahaha kawadangnye kwenu huko kiazi ww wakati hzo mambo ziko drasa la saba we jamaa unatounaje humu ndani aisee nimekuweka ignore list chapu maana ni bonge la mpumbavu!
Hata mimi sijawahi kusikia huo upuuzi anaosema.
Na nilishawahi kufanya kazi nje ya nchi ila sijawahi kuulizwa hayo makolokolo anayotaja hapa sasa sijui huko nje ni wapi alipodaiwa hivyo vitu.
 
Hata mimi sijawahi kusikia huo upuuzi anaosema.
Na nilishawahi kufanya kazi nje ya nchi ila sijawahi kuulizwa hayo makolokolo anayotaja hapa sasa sijui huko nje ni wapi alipodaiwa hivyo vitu.
Fala tu mmoja hafu yupi active kweli na huu uzi atakuja muda si mrefu hapa.
 
Weka hiyo orodha, hata ya 2015! Jamiiforums sio kijiwe, tuna watu wa kila aina humu!

Mimi mwenywe nimemaliza kidato cha nne mwaka 2007 na kidato cha sita mwaka 2010.

Ninachokueleza ninauhakika nacho, kwa sababu hata mimi niliongoza kidato cha nne, mwaka 2007.

Lakini nimekuja kufahamu baada ya kwenda kufanya kazi nje ya nchi, mwaka 2017 kama mhandisi.

Baada ya muajili wangu kuomba taarifa zangu za kitaaluma [ TSM9 ] kutoka baraza la mitihani [ NECTA ].

Sasa kama unasema unawajua baadhi ya watu walioingia kumi bora, naomba utuwekee hiyo orodha hapa. Jamiiforums ni jukwaa huru 😂😂😂
Tuwekee ushahidi wa haya uliyo yaandika. Kisha utuambie ulijuaje kama wewe umeongoza ?
 
Hata kuandika sentensi ya kiingereza inakushinda! Ilikuaje ukapata shahada yako?

Ndio haya tunayosema, elimu ya Tanzania ilikuwa ni soko huria.

Pesa ilikuwa inamaliza kila kitu, na sio uwezo wa mwanafunzi husika. Ndio maana hata kimataifa watanzania hawapo!

Nchi jirani za Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, DRC, Zambia, Msumbiji na hata Malawi zimetupita mbali sana kielimu.

Kushindwa kuandika sentensi kwa usahihi ndiyo kigezo cha mtu kushindwa kufaulu ?

Mlitakiwa nfundishwe Elimu ni nini kwanza kabla ya kuzisoma.
 
Kuwa mwanafunzi bora kitaifa sio jambo dogo hata kidogo na sio kitu chepesi, kinahitaji maandalizi ya kujitoa kama mwanafunzi ili kufikia adhma hiyo.

Na nikupe siri nyingine ambayo watu wengi hawafahamu, kwa kila mtihani wa taifa kuanzia darasa la nne, darasa la saba, kidato cha pili, kidato cha nne na kidato cha sita huwa kuna orodha ya matokeo ya wanafunzi kuanzia wakwanza mpaka wamwisho kitaifa.

Lakini matokeo ya darasa la saba, kidato cha nne na kidato cha sita huwa yanauzito kwa sababu yanakuwa ni ngazi ya kwenda hatua nyingine.

Na serikali huwa inaamua kutangaza wanafunzi kumi [10 bora] waliofanya vizuri kitaifa tu lakini ilikuwa na uwezo wa kutangaza hata [20 bora] au hata [50 bora] kama ikitaka, kwa sababu orodha ya watahiniwa wote ipo - wakwanza mpaka wamwisho.

Sasa kwa miaka ya nyuma, serikali ilikuwa haitoi hizi orodha kama inavyotoka wakati huu. Ndio maana kulikuwa na ulaghai na udanganyifu wa kutisha kwenye kuwasilisha matokeo kwa nakala ya vyeti.

Kwa kesi ya Elias Kihombo, hakuongoza yeye na hauwezi kusema ana wastani wa 98 kwa sababu hiyo orodha haipo na haikutangazwa hadharani. Na mimi siwezi kuitoa hadharani kwa sababu hizo orodha huwa ni nyaraka za serikali, zisipotangazwa zinabaki kuwa ni siri za serikali.

Inabidi yeye mwenyewe Elias Kihombo atuambie au wale wanaosema aliongoza kidato cha sita watuoneshe hiyo orodha na sio tofauti na hapo.
Fungua hizo screen shots utapata list Ya wanafunzi waliofanya vizuri kidato cha nne mwaka 2005
Screenshot_2020-08-23-20-55-04-61.jpeg
Screenshot_2020-08-23-20-55-15-81.jpeg
Screenshot_2020-08-23-20-55-24-13.jpeg
Screenshot_2020-08-23-20-55-33-15.jpeg
Screenshot_2020-08-23-20-55-42-21.jpeg
 
Ni maigizo hakika! Hivi kwani hata wewe ulishawahi kuiona hiyo orodha ya wanafunzi bora inayoonyesha Elias Kihombo aliongoza kidato cha sita mwaka 2006? Kama ipo mnakwama wapi na sisi wengine tuione?
Nenda necta mkuu

Acha ubishi
 
Back
Top Bottom