ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 17,640
- 22,748
witnessj kweli kawaida sanahizi makeup hizi[emoji16][emoji16]
Sent from my itel S31 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
witnessj kweli kawaida sanahizi makeup hizi[emoji16][emoji16]
HahahahahaMi nikikutanaga na wasanii ana kwa ana, uwa siwatambui hadi niambiwe.
Ni juzi tu nilimuona Hemed Mliman ndio nikamjua direct.
Ila wengine labda watu nione wanamshangaa au nilienae aniambie yule fulani.
Yaani hawafanani kabisa na picha au video wanazotupostia.
Hemedy yupo hivyo hivyo kama kwenye picha
Nimemuona mlela daah ana rangi nyingi kachakaa
Daah umetafsiri vizuri sanaaaKazi yake KUDANGA.Hili neno kudanga limekuja kulilemba neno umalaya,hapo ukimwambia ww malaya ana kasirikia,ila ukimwita mdangaji anaona poa kumbe kitu kilekile.
Hapana bana labda hakuogaHahahahha jidanganye hemed nilimuona airtel morocco pale jamaa kapauka huyo sikuamini.
Mzee wa mmmh mmmh ( ile porn nyokooz)Hahahahaha
Majuzi ka gwajima wakati kanapita nyumba kwa nyumba kuomba 'kula', kalikuja kakanisalimia sasa nikawa sielewi huyu ni nani anakuja na kundi la watu kisha anaanza kusalimiasalimia watu.
Baadaye akajitambulisha kuwa yeye ni gwajima na akaomba siku ya uchaguzi nikamchague.
Sikudhani kale ka'rashidi ni kafupi vile aisee...halafu hata hakafanani na picha nilizokuwa naziona kabla.
😂 😂 😂Mzee wa mmmh mmmh ( ile porn nyokooz)
Sehemu ya meeting zake.. maria brown 😀😀😀Nilikutana nacho m.city asee kawaida sana
Nywele na vipodozi.. ila pia atakuwa na kazi za ziadaItakuwa dangaling
Huyu ana bland ya nywele zake.. 🤐🤐. Sikutaka kwasababu nilihisi dau kubwa lakini pia kama machinooo vilee.. nikavunga mzeee babaUkijibiwa uni tag
Mkuu
Ova
Mi nikikutanaga na wasanii ana kwa ana, uwa siwatambui hadi niambiwe.
Ni juzi tu nilimuona Hemed Mliman ndio nikamjua direct.
Ila wengine labda watu nione wanamshangaa au nilienae aniambie yule fulani.
Yaani hawafanani kabisa na picha au video wanazotupostia.