adrenaline
JF-Expert Member
- Jun 17, 2015
- 3,152
- 4,843
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jada pinkert
yeah awali alikuwa anatoka na pacJada Pinkett wa Will Smith?
Mke wa chegge chigunda
Aisee acheni kutufunga kamba ,kazi yake ipi imetoka mwaka Jana ,mbona hatuioni kwenye Maredio ?2Pac Shakur Nabii wa Kwanza Mweusi na inawezekana wa mwisho. Baada ya kazi yake kutimia ilimpasa auache huu ulimwengu. Alijua ana muda mchache ndio maana akatuachia urithi wa kazi zake nyingi alizozifanya usiku na mchana ili ziendelea kutoka hata atakapokuwa ameuacha huu ulimwengu. Na ni kweli kazi zake zinaendelea kutoka hata sasa.
Ila Quincy aliwapa watoto majina ya "kikwetu" sana."Tupac alianzisha uhusiano na JADA PINKETT (mwanamke ambaye alikuwa nae hadi usiku wa umauti wake)Nukuu "JADA ni moyo wangu"-TUPAC pia aliandika shairi lililoitwa JADA pia aliandika "The Tears in Cupid's Eyes." shairi hili pia lilikuwa kwa ajili ya JADA"
hiyo paragraph [emoji115][emoji115] sio kweli kuwa alikuwa na Jada usiku ule alipokuwa shooted ila kwa wakati huo walikuwa wameshaachana na alikuwa na Kidada Jones mtoto wa Quincy Jones na ndio alikuwa mchumba wake na alimwacha hotelini yeye akiwa anaenda club na Suge.
Sahihisha hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app