Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeisikiliza video clip post #1?Wajukuu wa Ibrahimu tuna kazi kuhubiri amani na kudumisha amani
MWANZO 17:15-27
Mungu akamwambia Ibrahimu, Sarai mkeo, hutamwita jina lake Sarai, kwa kuwa jina lake litakuwa Sara. Nami nitambariki, na tena nitakupa mwana kwake, naam, nitambariki, naye atakuwa mama wa mataifa, na wafalme wa kabila za watu watatoka kwake.
Ibrahimu akamwambia Mungu, Lau kwamba Ishmaeli angeishi mbele yako. Mungu akasema, Sivyo, lakini Sara mkeo atakuzalia mwana wa kiume, nawe utamwita jina lake Isaka. Nami nitafanya agano langu imara kwake kuwa agano la milele kwa ajili ya uzao wake baada yake.
Na kwa habari za Ishmaeli nimekusikia, nimembariki, nitamzidisha, nami nitamwongeza sana sana. Atazaa maseyidi kumi na wawili, nami nitamfanya awe taifa kuu. Bali agano langu nitalifanya imara kwa Isaka, ambaye Sara atakuzalia majira kama haya mwaka ujao.
YOHANA 13:34-35
Yesu akawaambia "Amri mpya nawapa, Mpendane. Kama vile nilivyowapenda ninyi, nanyi mpendane vivyo hivyo. Hivyo watu wote watatambua ya kuwa ninyi mmekuwa wanafunzi wangu, mkiwa na upendo ninyi kwa ninyi."
ZABURI 5:15
Akisema, Msiwaguse masihi wangu, Wala msiwadhuru nabii zangu.
YAKOBO 1:27
Dini iliyo safi na isiyo na hitilafu mbele ya Mungu Baba ni hii: Kuwasaidia yatima na wajane katika shida zao, na kujilinda mwenyewe usichafuliwe na ulimwengu huu.
Uislam na black people ni 5 na 6.Kinukuu kipi cha ujinga ulichokisikiliza, ili na sisi tuelimike.
Au ni "Islamophobia" inakusumbuwa?
Kwenye watu Wajinga milioni 60 wewe ni namba Moja wewe sio jilala Bali wajalalani,ukristo ni ukafiri ndio maana wengi wanaamua kusilimu na kuwa waislamu badala ya kuabudu vipande vya miti shingoni..Uislam ni ushamba fulani tu, kama huwezi kumwamini Mungu kupitia ukiristo ni bora hata ukamwamini kupitia mti
Umeisikiliza video clip post #1?
Tatizo la wakristo wengi wao ni mbumbumbu sana na ndio Hilo kundi linajitahidi kuukataa ukweli huku wakinadi dini za mababu zao..😅😅😄Mbna wadau wameanza kukupopoa mawe..?
Kumwamini Mungu gani,yesu!?Uislam ni ushamba fulani tu, kama huwezi kumwamini Mungu kupitia ukiristo ni bora hata ukamwamini kupitia mti
Tatizo la wakristo wengi wao ni mbumbumbu sana na ndio Hilo kundi linajitahidi kuukataa ukweli huku wakinadi dini za mababu zao..
*...wamekwisha kufuru wale wasemao Mungu ni watatu... *
Kwa kumfanya Allah kuwa mwenye mwana.
Na ndio utamaduni uliostaarabika kuliko tamaduni zote.. Wewe mvaa rozari huutaki uislamu Ili wenzio wanaifuata hakiHilo darsa linawahusu nini wasio waislam? Wazungu wala hawaelewi hicho kitu ni nini, yaani huyo mfalme ndiyo atanataka kuona utamaduni wa kiislam ndiyo bora duniani? Abaki nalo hilo darsa
Mungu baba Mungu mwana Mungu roho ...Hakuna Mungu watatu kwenye ukristo
Tunakataa
Hakuna andiko linalotufundisha kuhusu miungu watatu
Tuna Mungu mmoja tuu muumba wa mbingu na nchi
mshamba ni wewe unayepelekwa kwa Makenzi ukafe njaa au kupelekeshwa airport usubiri ndege ya maajabu kukupeleka mbinguniUislam ni ushamba fulani tu, kama huwezi kumwamini Mungu kupitia ukiristo ni bora hata ukamwamini kupitia mti
Mungu baba Mungu mwana Mungu roho ...
Hakuna mstari kwenye biblia usemao ukristo ni dini .. na ni dini ya haki