Mfalme Abdullah II wa Jordan amwaga darasa la "Nini Maana ya Kuwa Muislam" kwenye Bunge la Ulaya

Mfalme Abdullah II wa Jordan amwaga darasa la "Nini Maana ya Kuwa Muislam" kwenye Bunge la Ulaya

Tatizo la wakristo wengi wao ni mbumbumbu sana na ndio Hilo kundi linajitahidi kuukataa ukweli huku wakinadi dini za mababu zao..

*...wamekwisha kufuru wale wasemao Mungu ni watatu... *

Kwa kumfanya Allah kuwa mwenye mwana.
W
Mimi naamini wapinzani wa Uislam siyo wakristo, wanaoupinga Uislam ni ni dini mpya inayoitwa lgbtq.
 
HA
Hahahahaha yeyote aneupinga ukristo au uislamu uyo ni upinde
Huo ndiyibukweli, tazama Qur'an inasenaje kuhusu Wakristo👇🏾

Qur'an 5:82. Hakika utawakuta walio shadidi kuliko watu wote katika uadui kwa walio amini ni Mayahudi na washirikina. Na utawakuta walio karibu mno kwa mapenzi ni wale wanao sema: Sisi ni Manasara (Wakristo). Hayo ni kwa sababu wapo miongoni mwao makasisi na wamonaki, na kwa sababu wao hawafanyi kiburi. 82
Hilo darsa linawahusu nini wasio waislam? Wazungu wala hawaelewi hicho kitu ni nini, yaani huyo mfalme ndiyo atanataka kuona utamaduni wa kiislam ndiyo bora duniani? Abaki nalo hilo darsa
Waliokuwa wanapewa hilo darsa ni bunge la Ulaya ambao 95% siyo Waislam.

Wewe kama siyo Muislam lisikilize darsa japo uelewe ni nini Uislam kutoka kwa Muislam siyo kudanganywa na lgbtq wanaoeneza uongo kuhusu Uislam na Ukristo.



Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Uislam na black people ni 5 na 6.
Ukikosoa chochote kuhusu uislam inakuwa Islamophobia na ukimkosoa mtu mweusi kwa chochote unaitwa rasist.
Lile liwaziri lililoambatana na Ramaphosa Ukraine, porand walipozuia convey yao kwasababu ya ndege yao kuwa na silaha na baadhi yao kutokuwa na genuine documents likakimbilia kusema mnatubagua kwasababu tumetoka Africa.
Bure kabisa!!
Pitia post yako fanya editing uandike vizuri ili tukuelewe.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Wajukuu wa Ibrahimu tuna kazi kuhubiri amani na kudumisha amani

MWANZO 17:15-27
Mungu akamwambia Ibrahimu, Sarai mkeo, hutamwita jina lake Sarai, kwa kuwa jina lake litakuwa Sara. Nami nitambariki, na tena nitakupa mwana kwake, naam, nitambariki, naye atakuwa mama wa mataifa, na wafalme wa kabila za watu watatoka kwake.

Ibrahimu akamwambia Mungu, Lau kwamba Ishmaeli angeishi mbele yako. Mungu akasema, Sivyo, lakini Sara mkeo atakuzalia mwana wa kiume, nawe utamwita jina lake Isaka. Nami nitafanya agano langu imara kwake kuwa agano la milele kwa ajili ya uzao wake baada yake.

Na kwa habari za Ishmaeli nimekusikia, nimembariki, nitamzidisha, nami nitamwongeza sana sana. Atazaa maseyidi kumi na wawili, nami nitamfanya awe taifa kuu. Bali agano langu nitalifanya imara kwa Isaka, ambaye Sara atakuzalia majira kama haya mwaka ujao.

YOHANA 13:34-35
Yesu akawaambia "Amri mpya nawapa, Mpendane. Kama vile nilivyowapenda ninyi, nanyi mpendane vivyo hivyo. Hivyo watu wote watatambua ya kuwa ninyi mmekuwa wanafunzi wangu, mkiwa na upendo ninyi kwa ninyi."

ZABURI 5:15
Akisema, Msiwaguse masihi wangu, Wala msiwadhuru nabii zangu.

YAKOBO 1:27
Dini iliyo safi na isiyo na hitilafu mbele ya Mungu Baba ni hii: Kuwasaidia yatima na wajane katika shida zao, na kujilinda mwenyewe usichafuliwe na ulimwengu huu.
Kuna vitu mnadanganyana kanisani ngoja nikufundishe Leo

Mwanzo 15:3
Abramu akasema, Tazama, hukunipa uzao, na mtu aliyezaliwa nyumbani mwangu ndiye mrithi wangu.
Mwanzo 15:4
Nalo neno la Bwana likamjia likinena, Huyu hatakurithi, bali atakayetoka katika viuno vyako ndiye atakayekurithi.
Mwanzo 15:5
Akamleta nje, akasema, Tazama sasa mbinguni, kazihesabu nyota, kama ukiweza kuzihesabu. Akamwambia, Ndivyo utakavyokuwa uzao wako.

Mungu anamwambia Ibrahim mtoto atakaye kurithi atatoka katika viuno vyako na nabii Ishmael ndio mtoto wa viuno wa Ibrahim

Mwanzo 16:2
Sarai akamwambia Abramu, Basi sasa, Bwana amenifunga tumbo nisizae, umwingilie mjakazi wangu labda nitapata uzao kwa yeye. Abramu akaisikiliza sauti ya Sarai.
Mwanzo 16:3
Sarai mkewe Abramu akamtwaa Hajiri Mmisri mjakazi wake, baada ya kukaa Abramu katika nchi ya Kanaani miaka kumi, akampa Abramu mumewe, awe mkewe.
Mwanzo 16:4
Basi akamwingilia Hajiri, naye akapata mimba. Naye alipoona ya kwamba amepata mimba, bibi yake alikuwa duni machoni pake.


Na hii ndio ahadi ya Mungu Kwa Ishmael

Mwanzo 16:11
Malaika wa Bwana akamwambia, Tazama! Wewe una mimba, utazaa mwana wa kiume, nawe utamwita jina lake Ishmaeli, maana Bwana amesikia kilio cha mateso yako.
Mwanzo 16:12
Naye atakuwa kama punda-mwitu kati ya watu, mkono wake utakuwa juu ya watu wote na mkono wa watu wote utakuwa juu yake, naye atakaa mbele yao ndugu zake wote.


Kama unao ushahidi kuwa Isihaka ndio mtoto wa viuno weka hapa tuone maana mandiko yote yanasema Isihaka ni mtoto wa ahadi kama vile Yesu
 
Ukristo ni ushoga na chuki
Mimi naamini huo siyo Ukristo, hiyo ni dini mpya ya kishetani "lgbtq" iliyopenyezwa kwenye Ukristo na sasa inafanyika bidii kuipenyeza kwenye Uislam.

Naamini pia, lgbtq wanachochea migongano na migogoro kwa kupenyeza chuki huku wakijificha kwenye pazia la Ukristo na Uislam.


Hata kwenye huu uzi ukiona lugha siyo za malumbano ya hoja kwa ustaarabu, elewa kuwa huyo ni lgbtq, siyo Muislam wala Mkristo. Ukitaka kujuwa Muislam ni nani, sikikiza post #1.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Mimi naaminu huo siyo Ukristo, hiyo ni dini mpya ya kishetani "gbtq" iliyopenyezwa kwenye Ukristo na sasa inafanyika bidii kuipenyeza kwenye Uislam.

Naamini pia, lgbtq wanachochea migongano na migogoro kwa kupenyeza chuki huku wakijificha kwenye pazia la Ukristo na Uislam.


Hata kwenye huu uzi ukiona lugha siyo za malumbano ya hija kwanutaarabu, elewa kuwa huyo ni lgbtq, siyo Muislam wala Mkristo. Ukitaja kujuwa Muislam ni nani, sikikiza post #1.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Exactly
 
Waiam wengi dunianu ni waty wrusi, nfiyi dini ys kwanza Afrika.

Lbda ukiri kuwa wewe mtymweusi wanambagua mtu mwrusi kwa kuwa hauna mafundisho ya Kiislaam.


Uislam unasema nbira kati yetu ni mcha Mungu. Nenda mdikiti wowote wa Jiiam utayaons hayo, wotr bega kwa bega.


Sasa nenda kanisa la wazungu kama utaingia ndani wewe, utaitwa kibaka tu, na ukifanikiwa juruhusiqa. Kuingia, utakuwa backbencher tu.

Si unafahamu neno backbenchers lilianzia wali?


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Sawa, kabisa.
Allah Apostle say: 'Whoever wants to see Satan should look at Nabtal.' He was a sturdy BLACK man with long flowing hair, inflamed eyes, and dark ruddy cheeks

Sahih Muslim 5:2334
 
Blacks wapuuzi sana. Makenge kabisa wale
BLacks, Waislam na Mashoga...haya ni makundi maakum, ukiyagusa haya unalo.
Hata wanawake na watoto siku hizi wame advance yamebaki makundi hayo
Waislam wamekukosea nini?


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Mfalme Abdullah wa pili wa Jordan amwaga darsa la "Nini Maana ya Kuwa Muislam" kwenye bunge la Ulaya kwa ufupi wenye kina.

Darsa hili ni fundisho na faida kwa Waislam na wasio Waislam. Tusikilize[emoji1484]




Tutaleta tafsiri ya Kiswahili baadae.
Nyiny kweny mabungw yenu mna ruhusu wengine kuwaelimisha kuhusu imani zao?
 
Back
Top Bottom