Kizuri hakitangazw kinajitangazaUkiona mti unapopolewa ujuwe una matunda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kizuri hakitangazw kinajitangazaUkiona mti unapopolewa ujuwe una matunda.
Hatujui"Ukristo" maana yake nini?
Hapana, waislam hawajanikosea na mawapenda sana.Waislam wamekukosea nini?
Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Km wanaamua , wale walioua wanafunz kule uganda wanafany vile kwasabab gnKwenye watu Wajinga milioni 60 wewe ni namba Moja wewe sio jilala Bali wajalalani,ukristo ni ukafiri ndio maana wengi wanaamua kusilimu na kuwa waislamu badala ya kuabudu vipande vya miti shingoni..
Huo ni uongo wako, Allah kashusha Qur'an, tupe ushahidi wa Qur'an. Usidanganye.Sawa, kabisa.
Allah Apostle say: 'Whoever wants to see Satan should look at Nabtal.' He was a sturdy BLACK man with long flowing hair, inflamed eyes, and dark ruddy cheeks
Sahih Muslim 5:2334
Wap umesoma mungu ni watatuTatizo la wakristo wengi wao ni mbumbumbu sana na ndio Hilo kundi linajitahidi kuukataa ukweli huku wakinadi dini za mababu zao..
*...wamekwisha kufuru wale wasemao Mungu ni watatu... *
Kwa kumfanya Allah kuwa mwenye mwana.
Alshabab , boko haram , is etc kwa ufupi mada irud kwako , hongeren kwa kustaarabika kwa kuchinja watoto wadogoNa ndio utamaduni uliostaarabika kuliko tamaduni zote.. Wewe mvaa rozari huutaki uislamu Ili wenzio wanaifuata haki
Ww ni kilaza sana , kwahiyo hapo ikamaanisha mungu wapo watatu ?Mungu baba Mungu mwana Mungu roho ...
Hakuna mstari kwenye biblia usemao ukristo ni dini .. na ni dini ya haki
Hiyo dini ya Makenzi au ya ukristo?mshamba ni wewe unayepelekwa kwa Makenzi ukafe njaa au kupelekeshwa airport usubiri ndege ya maajabu kukupeleka mbinguni
Haupo sahihi, Uislam haufananishwi na kundi lingine lolote, umakosea sana kufanya hivyo.Hapana, waislam hawajanikosea na mawapenda sana.
Ila ni kati ya Makundi maalum matatu yenye upendeleo wa kipekee, ni mapacha watatu wanaopewa watakacho kwa hali zao.
Akil zako bn , mababu zetu km wanasoma wanalia sn , mtu anatetea mizimu ya waarab km yy ni muarabuWaiam wengi duniani ni watu weusi, Uislam ndiyo dini ya kwanza Afrika.
Lbda ukiri kuwa wewe mtu mweusi unambagua mtu mweusi mwenzako kwa kuwa hauna mafundisho ya Kiislaam.
Uislam unasema mbora kati yetu ni mcha Mungu. Nenda msikiti wowote dunini utayaona hayo, wote bega kwa bega.
Sasa nenda kanisa la wazungu kama utaingia ndani wewe, utaitwa kibaka tu, na ukifanikiwa juruhusiwa kuingia, utakuwa backbencher tu.
Si unafahamu neno backbenchers lilianzia wapi? Au haufahamu? Kama hayo fahamu uliza.
Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Uongo wangu upi?Huo ni uongo wako, Allah kashusha Qur'an, tupe ushahidi wa Qur'an. Usidanganye.
Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Ukiwa unakosoa kwa ya kukashifu na kutukana bila ya kuwasilisha hoja that's hateful behaviour na itakuwa sawa kuitwa majina yote.Uislam na black people ni 5 na 6.
Ukikosoa chochote kuhusu uislam inakuwa Islamophobia na ukimkosoa mtu mweusi kwa chochote unaitwa rasist.
Lile liwaziri lililoambatana na Ramaphosa Ukraine, porand walipozuia convey yao kwasababu ya ndege yao kuwa na silaha na baadhi yao kutokuwa na genuine documents likakimbilia kusema mnatubagua kwasababu tumetoka Africa.
Bure kabisa!!
Mabunge yetu yepi?Nyiny kweny mabungw yenu mna ruhusu wengine kuwaelimisha kuhusu imani zao?
Hao ni mapandikizi ya gbtq, wapo wanjifucha kwenye pazia la Uislam na oazia la Ukristo.FaizaFoxy sijawahi kukusoma ukitukana kama wale wengine wakibanwa kwa hoja kwenye nyuzi zao wanaishia kutukana kama hawana akili nzuri
Mfalme Abdullah wa pili wa Jordan amwaga darsa la "Nini Maana ya Kuwa Muislam" kwenye bunge la Ulaya kwa ufupi wenye kina.
Darsa hili ni fundisho na faida kwa Waislam na wasio Waislam. Tusikilize[emoji1484]
Tutaleta tafsiri ya Kiswahili baadae.