FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
- Thread starter
- #81
Kwanza kabisa unatakuwanuelewenhakuna "kuoa" katika Uislam. Uislam una kuoana.Ameelezea kuwa Mtume alioa binti wa miaka sita?
Ameelezea Mtume alisema waumini wanywe Mkojo wa ngamia kwavile ni dawa?
. Qaliokwambia "kaoa" wamekudanya.
Unachotakiwa kufahamu, katika sheria za ndoa za Kiislaam ni mlolongo, ufatao:
1) posa,
Lazima pisa ipelekwemkwa wazazi au walezi wa mke, wanaopeleka pisa nu wazazi, wslezi ah watu wenye heshima nanhekimankutokeankwa mume.
2) mahari,
Mahari itaamuliwa na aliyepelekewa posa au wanaomuwakilisha kwa idhini yake (waliinwake).
3) nikah,
mkataba wa ndoa (kufunga. Ndoa).
4) "Dukhul",
Kuingiliana kimwili kwa mara ya kwanza,mke na mume waliofunga ndoa.
Likipunguwa au lujikiukwa lolote katika hayo ndoa haijakamjlika. Yite hayinyana vigezo vyake vilivyokamilika, siyi vya kukisia kisia.
Uliza ambacho hujakielewa tukufafanulie zaidi.
Mama anaupiga mwingi Kimataifa.