Mfalme Abdullah II wa Jordan amwaga darasa la "Nini Maana ya Kuwa Muislam" kwenye Bunge la Ulaya

Mfalme Abdullah II wa Jordan amwaga darasa la "Nini Maana ya Kuwa Muislam" kwenye Bunge la Ulaya

Ameelezea kuwa Mtume alioa binti wa miaka sita?
Ameelezea Mtume alisema waumini wanywe Mkojo wa ngamia kwavile ni dawa?
Kwanza kabisa unatakuwanuelewenhakuna "kuoa" katika Uislam. Uislam una kuoana.
. Qaliokwambia "kaoa" wamekudanya.

Unachotakiwa kufahamu, katika sheria za ndoa za Kiislaam ni mlolongo, ufatao:


1) posa,
Lazima pisa ipelekwemkwa wazazi au walezi wa mke, wanaopeleka pisa nu wazazi, wslezi ah watu wenye heshima nanhekimankutokeankwa mume.

2) mahari,
Mahari itaamuliwa na aliyepelekewa posa au wanaomuwakilisha kwa idhini yake (waliinwake).


3) nikah,
mkataba wa ndoa (kufunga. Ndoa).

4) "Dukhul",
Kuingiliana kimwili kwa mara ya kwanza,mke na mume waliofunga ndoa.

Likipunguwa au lujikiukwa lolote katika hayo ndoa haijakamjlika. Yite hayinyana vigezo vyake vilivyokamilika, siyi vya kukisia kisia.


Uliza ambacho hujakielewa tukufafanulie zaidi.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Ukiwa unakosoa kwa ya kukashifu na kutukana bila ya kuwasilisha hoja that's hateful behaviour na itakuwa sawa kuitwa majina yote.

Uislamu haujatakaa challenge na kukoselewa ,hata mtume alikuwa akipokea hizo challenge kwa kuwaruhusu wasio waislamu kuingia msikitini na kuuliza maswali kwasababu hii ni njia mojawapo ya ufanya daawa
Na Uislamu ulimzawadia uongozi wa Talawee Suleiman Rashidie alipo andika kile kitabu. IN ROMA VOICE.
 
Ameelezea kuwa Mtume alioa binti wa miaka sita?
Ameelezea Mtume alisema waumini wanywe Mkojo wa ngamia kwavile ni dawa?
La kwanza nimelijibu post #82 rudi juu kidogo ulisome jibu.


Hilo la pili la mkojonwa ngamia, ni kweli kabisa. Tena hivi karibuni tafiti nyingi zimefanywa na mabingwa wa tiba waliolishangaa hilo kama unavyolishangaa wewe, na waliofanya hizo tafiti wameona maajabu.

Hii chini ni baadhi ya tafiti zilizowasilishwa World Health Organisation. Jisomee 👇🏾



Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Haya mambo yenu ya mara uislam mara ukristo pelekeni huko kwa majukwaa ya dini. Tunachoka sasa.
 
Kwenye watu Wajinga milioni 60 wewe ni namba Moja wewe sio jilala Bali wajalalani,ukristo ni ukafiri ndio maana wengi wanaamua kusilimu na kuwa waislamu badala ya kuabudu vipande vya miti shingoni..
Sasa hapo tofauti yako na yeye ipo wapi? Ikiwa unaweza kusema yafananayo na yake. Au umeingizwa mtegoni bila kujua
 
Haya mambo yenu ya mara uislam mara ukristo pelekeni huko kwa majukwaa ya dini. Tunachoka sasa.
Hili ni jambo la habari za Kimataifa, ni la kihistoria, Muislam kualikwa bunge la Ulaya kuwapa darsa la ni nani Mislam.

Pia Hukukazimishwa kuingia kuyasoma na ukachangia hoja yako. Ulupoona hayakufai ungesepa tu.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Back
Top Bottom