Mfalme Abdullah II wa Jordan amwaga darasa la "Nini Maana ya Kuwa Muislam" kwenye Bunge la Ulaya

Mfalme Abdullah II wa Jordan amwaga darasa la "Nini Maana ya Kuwa Muislam" kwenye Bunge la Ulaya

Kwenye watu Wajinga milioni 60 wewe ni namba Moja wewe sio jilala Bali wajalalani,ukristo ni ukafiri ndio maana wengi wanaamua kusilimu na kuwa waislamu badala ya kuabudu vipande vya miti shingoni..
wanao silim hawana Mungu wanafuata madem wa kiislamu hayupo wa kutoka kwenye ukristo kuja uko ngoja tusubiri mabikra 72

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo la wakristo wengi wao ni mbumbumbu sana na ndio Hilo kundi linajitahidi kuukataa ukweli huku wakinadi dini za mababu zao..

*...wamekwisha kufuru wale wasemao Mungu ni watatu... *

Kwa kumfanya Allah kuwa mwenye mwana.
Mbna umekua mkali sasa ostadhati...?😅😅😁
 
Uislam na black people ni 5 na 6.
Ukikosoa chochote kuhusu uislam inakuwa Islamophobia na ukimkosoa mtu mweusi kwa chochote unaitwa rasist.
Lile liwaziri lililoambatana na Ramaphosa Ukraine, porand walipozuia convey yao kwasababu ya ndege yao kuwa na silaha na baadhi yao kutokuwa na genuine documents likakimbilia kusema mnatubagua kwasababu tumetoka Africa.
Bure kabisa!!
Waiam wengi duniani ni watu weusi, Uislam ndiyo dini ya kwanza Afrika.

Lbda ukiri kuwa wewe mtu mweusi unambagua mtu mweusi mwenzako kwa kuwa hauna mafundisho ya Kiislaam.


Uislam unasema mbora kati yetu ni mcha Mungu. Nenda msikiti wowote dunini utayaona hayo, wote bega kwa bega.


Sasa nenda kanisa la wazungu kama utaingia ndani wewe, utaitwa kibaka tu, na ukifanikiwa juruhusiwa kuingia, utakuwa backbencher tu.

Si unafahamu neno backbenchers lilianzia wapi? Au haufahamu? Kama hayo fahamu uliza.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Waiam wengi dunianu ni waty wrusi, nfiyi dini ys kwanza Afrika.

Lbda ukiri kuwa wewe mtymweusi wanambagua mtu mwrusi kwa kuwa hauna mafundisho ya Kiislaam.


Uislam unasema nbira kati yetu ni mcha Mungu. Nenda mdikiti wowote wa Jiiam utayaons hayo, wotr bega kwa bega.


Sasa nenda kanisa la wazungu kama utaingia ndani wewe, utaitwa kibaka tu, na ukifanikiwa juruhusiqa. Kuingia, utakuwa backbencher tu.

Si unafahamu neno backbenchers lilianzia wali?


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Tulia uandike , mbona unakosea sana now days
 
Uislam na black people ni 5 na 6.
Ukikosoa chochote kuhusu uislam inakuwa Islamophobia na ukimkosoa mtu mweusi kwa chochote unaitwa rasist.
Lile liwaziri lililoambatana na Ramaphosa Ukraine, porand walipozuia convey yao kwasababu ya ndege yao kuwa na silaha na baadhi yao kutokuwa na genuine documents likakimbilia kusema mnatubagua kwasababu tumetoka Africa.
Bure kabisa!!
Blacks wapuuzi sana. Makenge kabisa wale.

Blacks, Waislam na Mashoga...haya ni makundi maalum, ukiyagusa haya unalo.
Hata wanawake na watoto siku hizi wame advance yamebaki makundi hayo tu.
 
Kwenye watu Wajinga milioni 60 wewe ni namba Moja wewe sio jilala Bali wajalalani,ukristo ni ukafiri ndio maana wengi wanaamua kusilimu na kuwa waislamu badala ya kuabudu vipande vya miti shingoni..
Kule Uganda ndugu zako wameuwa wanafunzi wasio na hatia.
Heri kuishi jirani na shoga kuliko kuishi jirani muislamu
 
Kule Uganda ndugu zako wameuwa wanafunzi wasio na hatia.
Heri kuishi jirani na shoga kuliko kuishi jirani muislamu
Ndio maana nikasema wengi wenu nyie wavaa rozari ni mbumbumbu,walioteka Uganda Wala sio waislam ni vikosi vya waasi kutoka Congo.Hizo hila zenu za kuuchafua uislamu ni hila mfu.
 
Ndio maana nikasema wengi wenu nyie wavaa rozari ni mbumbumbu,walioteka Uganda Wala sio waislam ni vikosi vya waasi kutoka Congo.Hizo hila zenu za kuuchafua uislamu ni hila mfu.
Mbusu jiwe unabisha , wale wapo pamoja na Islamic state , makundi ya kiislamu ya mauaji
 
Waiam wengi dunianu ni waty wrusi, nfiyi dini ys kwanza Afrika.

Lbda ukiri kuwa wewe mtymweusi wanambagua mtu mwrusi kwa kuwa hauna mafundisho ya Kiislaam.


Uislam unasema nbira kati yetu ni mcha Mungu. Nenda mdikiti wowote wa Jiiam utayaons hayo, wotr bega kwa bega.


Sasa nenda kanisa la wazungu kama utaingia ndani wewe, utaitwa kibaka tu, na ukifanikiwa juruhusiqa. Kuingia, utakuwa backbencher tu.

Si unafahamu neno backbenchers lilianzia wali?


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.

IMG_2649.jpg
 
Ndio maana nikasema wengi wenu nyie wavaa rozari ni mbumbumbu,walioteka Uganda Wala sio waislam ni vikosi vya waasi kutoka Congo.Hizo hila zenu za kuuchafua uislamu ni hila mfu.

Vikundi vinavyofunganama na is,yani dola ya kiislam kupitia mafundisho ya mudi.
 
Tatizo la wakristo wengi wao ni mbumbumbu sana na ndio Hilo kundi linajitahidi kuukataa ukweli huku wakinadi dini za mababu zao..

*...wamekwisha kufuru wale wasemao Mungu ni watatu... *

Kwa kumfanya Allah kuwa mwenye mwana.
Kwani wakristo huwa wanasema Allah ana mwana?
Kwanza wakristo hawamjui Allah.
Allah kwao ni kimungu kingine cha wapagani kama ng'ombe kwa wahindu.
 
HA
Ukiona mtu anaupopoa Uuslam elewa kuwa huyo siyo Mkristo, huyo ni wa dini mpya inayoitwa lgbtq.

Tunawaelewa, hawatupi shida.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Hahahahaha yeyote aneupinga ukristo au uislamu uyo ni upinde
 
Na ndio utamaduni uliostaarabika kuliko tamaduni zote.. Wewe mvaa rozari huutaki uislamu Ili wenzio wanaifuata haki
we ni mpokea mapokeo tu usiyojihoji unachoabudu ni sahihi au ni blablaa tu? Ifanye akikili yako kuwa huru.
 
Back
Top Bottom