Mfalme dubai anataka hera yake wakenya mliyo mtapeli

Mfalme dubai anataka hera yake wakenya mliyo mtapeli

hahahhahahhaha kenya ni majizi kishenzi yaan
 
Ah hapa ndio naamkubali falsafa za JPM nahisi like li dhahabu lililo kamatwa mtwara likitoroshewa KE huenda lilikuwa ndio walifanyie maujanja kujifanya ma supplier .... Msimu huu tutathibitisha ule msemo mbio za sakafuni mwishowe ni ukingoni ..... Hamna mgodi mnajifanya mna uza gold ...janja janja mwishowe mtauzwa kwa waarabu ila shekh nae alijiharibia funga yake kwa vitisho alivyotoa
 
Mi nafurahi Mwarabu kupigwa maana ndio makuwadi wakuu wa gold smuggling! Ukifanya deal ya smuggling then be sure of the risks that come along! Hawa ndio chanzo cha conflicts in DRC!
 
Dhahabu waipate wapi wanamigodi? si walikuwa wanategemea kuja kuiba hii ya kwetu sasa amepatikana bingwa wa kimataifa wakuzuia wiziwa kimataifa amejenga ukuta kwenye migodo mikubwa, amethibiti utoroshwaji wa madini na kuzuia viwanja vya ndege vilivyokuwapo migodini na ameanzisha masoko ya madini hapa hapa nchini. Itakula kwao labda wasage vipande vya chupa wawapelekee
 
Pumbavu zake aibiwe tu, unatapeliwaje dhahabu nyingi hivyo kwa njia ya simu, yaani hela nyingi kiasi hicho unategemea simu tu, huna wawakilishi, hujatuma wawakilishi wako wafanye shughuli yote, unaongea ongea na mtu ambaye humfahamu, pumbavu wacha aliwe.
 
The Ruler of Dubai should also be ashamed of being in such deals..
DRC ni vita toka uhuru wao kwa sababu ya hawa mineral smugglers..
wacha waibiwe pesa zote. hawa wakora ndiyo wanaharibu Africa
 
Dhahabu waipate wapi wanamigodi? si walikuwa wanategemea kuja kuiba hii ya kwetu sasa amepatikana bingwa wa kimataifa wakuzuia wiziwa kimataifa amejenga ukuta kwenye migodo mikubwa, amethibiti utoroshwaji wa madini na kuzuia viwanja vya ndege vilivyokuwapo migodini na ameanzisha masoko ya madini hapa hapa nchini. Itakula kwao labda wasage vipande vya chupa wawapelekee
Mbona Kenya kuna dhahabu ya kutosha tu kule magharibi mwa nchi mfano migori, kakamega..nk
 
Back
Top Bottom