Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo hapo panakuwaga pagumu kutoka kwa Shetani kuelekea kwa Mungu waweza jisumisha bure! hasa kama mungu wako ni wa mashaka! yaani mungu yule wa kuambiwa na manabii!Hana njaa vipi mkuu!! Wakati watoto wake sasa wanasoma KAYUMBA FC, toka kwenye English medium? biashara nyingi zimekufa /amedhurumiwa, kwa kufanya biashara ki shikaji!! Nyumba yake ya mbagala imeuzwa na bank, hata hiyo ya chanika, ni mwache mwache!!! Lolote laweza tokea, kifupi jamaa ameyumba sana kiuchumi!!!
Wewe Bwege nazi hujui? ni hivi; Waliotoa kile kichapo wote walitupiwa ma-Shetani, walikuwa siyo wao, Mungu wa msalabani alijua siyo wao! aliwasamehe! mpaka leo wako huru!
ilivotokea ni sawa na ma-shekhe wa leo wanaoongoza misikiti kwa nguvu za mashetani, mfano; Yahaya, wanafuga mashetani, wanawatupia wapita njia wakorofi, kuiba nyota za watu, chuma ulete!, ulinzi, kutandika waumini wanao kwenda kinyume na misimamo yao, ushoga nk,
Gwajima kayakemea kwa waumini wee!! kachoka! akagundua chanzo! ni shek.Yahaya akamwonya kwa masharti ya jina la yule yule wa Msalabani kwamba;
I, Atubu apone au
2. Aendelee Afe! .. yuko wapi leo! siyo maneno yangu ni ya Gwajima Mfuasi wa Yesu! na clip zipo!
aaa! hivi Mwamedi anawafanyagaje? mbona mnakuwaga na hasira, akitajwa! kupasua PC ni rahisi!!!
Mambo mengine unaweza kucheka kwa kusikitika. Yani ni ulevi zaidi ya komoniDuh kwel dini ulevi huyuhuyu gwajima!!?
Wewe njaa huna?Njaaaaaaaaaaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tutaficha wapi nyuso zetu sisi
AiseeHuyu jamaa tangu mwanzo wakati anajiunga na wavaa vibaraghashee huku akimwaga machozi, mi nilisema anabugi step. Na hii yote ni ukosefu wa elimu. Elimu sio ya darasani tu, na ile ya kuchanganua mambo yanavyokwenda Ulimwenguni. We huwezi kuacha dili zako zinazokuingizia kipato bila kujua unakwenda wapi. Ni ulofa.
Qaswida alishaimba ila upepo wa huko haukuvuma vyema kwa upande wake...mambo hayakuwa sawa kimaslahi ktk kuwin his daily bread.Tunajua ni shida za dunia, haswaa kwa mtu aliyezoea kushika mipesa pesa,
Sema nae Mzee si angeimba Qaswida basiii wengi wangemsapoti kuliko kurudi kwenye Taaraabu atajiharibia siha yake.
Huyo ni kama mm...Jahazi ilinifanya nijibebee mi shangazi ya kufa mtuKuna jamaa yangu hapendi taarabu ila unapenda kubaishia,basi kila sehemu ambapo Jahazi wanakuwepo hapa Dar yumo.Kaigonga sana mimama na mibibi siku hizi ndio anatembea na vijana wenzake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo ni kama mm...Jahazi ilinifanya nijibebee mi shangazi ya kufa mtu
Uanaume nj Nini?hivi mwanaume unaanzaje kuimba au kusikiliza taarabu?
🤣🤣🤣🤣 tupo nae group la WhatsApp hilo tangazo la mzee Yusuph kupiga show Dar Live kalipost yy.Huyo ni kama mm...Jahazi ilinifanya nijibebee mi shangazi ya kufa mtu
Hii ni Idd Mosi gani?Mambo yameiva.View attachment 1514472