Mfalme Mzee Yusuph amethibitisha kurudi kwenye taarabu

Mfalme Mzee Yusuph amethibitisha kurudi kwenye taarabu

Hapo kuna liarabu nadhani lilimpanga ili ainue kaswida iwe kama nyimbo za injili akashindwa kufikia lengo akatoswa akaiona isiwe shida narudi home. Haha hahaaaa!.

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha unafiki ww.. mzee yusuf aliacha mziki kwa imani yake na kinachomrudisha ni njaa zake... huyo mwarabu aliemwambia kaswida zinalipa aache kuimba taarab tukikuuliza ni nani utatuthibitishia? Kaswida watu wanaimba kwa mapenzi tu na sio kipato... tofauti na gospel music. Leo hii nikikuuliza ww unamjua hata msaniii mmoja wa kaswida jibu sidhani kama utanipa..
 
Itakuwa mungu wako yule aliening'inizwa pale msalabani na wanadamu aliewaumba mwenyewe mana si kashfa hizo, huyo uliemwita mwamedi anaingiaje apo na mzee yusuf kurudi kwenye game?
Wewe Bwege nazi hujui? ni hivi; Waliotoa kile kichapo wote walitupiwa ma-Shetani, walikuwa siyo wao, Mungu wa msalabani alijua siyo wao! aliwasamehe! mpaka leo wako huru!

ilivotokea ni sawa na ma-shekhe wa leo wanaoongoza misikiti kwa nguvu za mashetani, mfano; Yahaya, wanafuga mashetani, wanawatupia wapita njia wakorofi, kuiba nyota za watu, chuma ulete!, ulinzi, kutandika waumini wanao kwenda kinyume na misimamo yao, ushoga nk,

Gwajima kayakemea kwa waumini wee!! kachoka! akagundua chanzo! ni shek.Yahaya akamwonya kwa masharti ya jina la yule yule wa Msalabani kwamba;
I, Atubu apone au
2. Aendelee Afe! .. yuko wapi leo! siyo maneno yangu ni ya Gwajima Mfuasi wa Yesu! na clip zipo!

aaa! hivi Mwamedi anawafanyagaje? mbona mnakuwaga na hasira, akitajwa! kupasua PC ni rahisi!!!
 
Ngoja niwaambie jamani ,kitu wokovu sio mchezo,hasa kama ulikuwa mwanachama mzuri wa huyu anae itwa ibilisi bin sheitwan,mambo ya kidunia ukitaka kuyaacha kuna mtihani mkubwa zaidi ya vile unavyoweza kufikiri,nguzo zote ulizokuwa nazo zinaweza kuporomoka na ukajikuta unabaki peke yao,kumbuka kabisa kwamba umebadili mfumo wa maisha na unaingia kwenye mfumo mpywa ambao hapo mwanzo haukuwepo.

Sasa hapa ibilisi bin sheitwani huingia kazin baada ya kukuona umeanza kukenguuka ,hakupi nafasi ya kupumua ,anapika uchumi,familia na jamii yako inakuona kuwa wewe ni fala na umekosea kila kitu,kiufupi lazima ujione mpweke,na ukicheza unaweza kupoteza hata watoto kwa vifo na kufarakana na mkeo ndugu na jamaa.

Tatizo ni kwamba ukitangaza kuacha jambo fulani na likaonekana kutaka kuleta ukinzani kwa huyu bwana mkubwa wa hapa duniani jua wazi kwamba umefungulia vita za kiroho.Vita vya kiroho huwa havipiganwi ki mwili ila effects zake unaziona mwanana kwenye maisha yako.Ukitaka kuamini waulize watu wenye tabia chafu ambao huchoka natabia hizo na mwisho wa siku huamua ku declare kwamba wameacha ,watu hawa badala ya kuacha hujikuta wameanza safari upya na kujikuta wanafanya mara mbili yake zaidi.Waulize wanao jichua kinachowapata kila wakitaka kufanya maamuzi ya kuacha hutokewa na nini,walevi,wezi ,makahaba,tapeli,wazinzi nk.

Shetani huwa hana shida na mtenda dhambi mana anajua yeye hana kikwazo kwake,utapata tabu ipi na kuku aliye bandani mwako?,yeye anapigana vita na watu wanaotangaza vita juu yake na ni vita moto moto ,inahitaji ujiimalishe hasa, la sivyo utanyosha mikono juu na kusalim amri.

Huyu mzee anatakiwa ajipange vyema na achague wapi kunako mstahili ,akhera ipo kwa wale walio jitoa kweli kweli na haipatikani vyepesi hasa kwa mtu kama yeye aliyekuwa amezoea anasa na mambo mengine ya kidunia ,anatakiwa ajipange na ujue naweza kuharibu zaidi na ninavyoona ni heri angebaki tu huko alipo kua amepaamua kuwepo.Au aamue ubaya ubaya hadi kufa ,yeye na dunia kwa kwa mpya ,na sisi tunasema mbwa kayarudia matapishi yake mwenyewe na nguruwe aliyeoshwa amerudi kugala gala matopeni.Msamaha wa mtu kama huyu huwa ni Mgumu sana kwa Mwenyezi Mungu japo kuwa yeye ni Mwingi wa rehema.Mungu atunusuru kwa kila hali maisha yetu ni ya shida sana hapa duniani mana kila kona shilingi inahitajika.

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kutolea mfano kujichua na mambo ya kijinga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Itakuwa mungu wako yule aliening'inizwa pale msalabani na wanadamu aliewaumba mwenyewe mana si kashfa hizo, huyo uliemwita mwamedi anaingiaje apo na mzee yusuf kurudi kwenye game?
sasa si mfuasi wa mwamedii
 
Alikuwa na maisha magumu Sana , alikuwa anashinda kijiwen anaganga njaa.. Nilikuwa naamini hawez vumilia lile laifu lazima atarudia kwenye muziki .. Hatimae Sasa.

Mara ya mwisho nilimuona chanika akiwa kachoka ile mbaya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli,hana njaaa kama watanganyika wengi...ananiliki vitega uchumi hapo Taliani chanika,uliza wenyeji,haimbi taarabu ataimba qaswida.
 
Nilishangaa sana, bila majibu, huyu mtu wa watu kutoka ktk huu muziki wa Taarabu. alidanganywa na wapiga hela wa Dini. kupitia Dini kuwa anacho fanya ni dhambi. kumbe Dini yenyewe ilianzishwa Vatican ili kuvuruga Maisha ya watu. Prince Katega kamfungua Macho!

sasa anarudi kwa kasi! leo anapiga Bahari beach Motel kule Kunduchi
Mpunga wote katoa swadaka na kwenda kuhiji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio kweli,hana njaaa kama watanganyika wengi...ananiliki vitega uchumi hapo Taliani chanika,uliza wenyeji,haimbi taarabu ataimba qaswida.
Hana njaa vipi mkuu!! Wakati watoto wake sasa wanasoma KAYUMBA FC, toka kwenye English medium? biashara nyingi zimekufa /amedhurumiwa, kwa kufanya biashara ki shikaji!! Nyumba yake ya mbagala imeuzwa na bank, hata hiyo ya chanika, ni mwache mwache!!! Lolote laweza tokea, kifupi jamaa ameyumba sana kiuchumi!!!
 
Back
Top Bottom