Mfalme Mzee Yusuph amethibitisha kurudi kwenye taarabu

Mfalme Mzee Yusuph amethibitisha kurudi kwenye taarabu

Ama kweli vitu kama hivi kuviacha vinahitaji uwe na imani ile ya kikweli kweli aisee.

Ila hizi za kuacha jambo kwa mihemko kudunda mbeleni ni lazima.
 
Baba Jesca legeza vyuma baba yaisheeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] njaa hizi. Jamaa alistaafu kwa mbwembwe zooteee

Naona kamiss kugombaniwa na wake zake,hapo ataongeza mwingine ili mtiti uanze upya
😅😅😅 Hatari rafiki njaa kitu kingine kabisa.

Ila maisha haya yaani ameshasahau kauli zake zote zile.

Nimecheka eti kamiss kugombaniwa lol.
 
Yaani alivyokua anapiga swala tano na mahubiri kama yote hakuna aliyetegemea atarudi kule alipopakana na kuwataka watu wachome CD zake eti watapata dhambi
😅😅😅 Hatari rafiki njaa kitu kingine kabisa.

Ila maisha haya yaani ameshasahau kauli zake zote zile.

Nimecheka eti kamiss kugombaniwa lol.
 
Ngoja niwaambie jamani ,kitu wokovu sio mchezo,hasa kama ulikuwa mwanachama mzuri wa huyu anae itwa ibilisi bin sheitwan,mambo ya kidunia ukitaka kuyaacha kuna mtihani mkubwa zaidi ya vile unavyoweza kufikiri,nguzo zote ulizokuwa nazo zinaweza kuporomoka na ukajikuta unabaki peke yao,kumbuka kabisa kwamba umebadili mfumo wa maisha na unaingia kwenye mfumo mpywa ambao hapo mwanzo haukuwepo.

Sasa hapa ibilisi bin sheitwani huingia kazin baada ya kukuona umeanza kukenguuka ,hakupi nafasi ya kupumua ,anapika uchumi,familia na jamii yako inakuona kuwa wewe ni fala na umekosea kila kitu,kiufupi lazima ujione mpweke,na ukicheza unaweza kupoteza hata watoto kwa vifo na kufarakana na mkeo ndugu na jamaa.

Tatizo ni kwamba ukitangaza kuacha jambo fulani na likaonekana kutaka kuleta ukinzani kwa huyu bwana mkubwa wa hapa duniani jua wazi kwamba umefungulia vita za kiroho.Vita vya kiroho huwa havipiganwi ki mwili ila effects zake unaziona mwanana kwenye maisha yako.Ukitaka kuamini waulize watu wenye tabia chafu ambao huchoka natabia hizo na mwisho wa siku huamua ku declare kwamba wameacha ,watu hawa badala ya kuacha hujikuta wameanza safari upya na kujikuta wanafanya mara mbili yake zaidi.Waulize wanao jichua kinachowapata kila wakitaka kufanya maamuzi ya kuacha hutokewa na nini,walevi,wezi ,makahaba,tapeli,wazinzi nk.

Shetani huwa hana shida na mtenda dhambi mana anajua yeye hana kikwazo kwake,utapata tabu ipi na kuku aliye bandani mwako?,yeye anapigana vita na watu wanaotangaza vita juu yake na ni vita moto moto ,inahitaji ujiimalishe hasa, la sivyo utanyosha mikono juu na kusalim amri.

Huyu mzee anatakiwa ajipange vyema na achague wapi kunako mstahili ,akhera ipo kwa wale walio jitoa kweli kweli na haipatikani vyepesi hasa kwa mtu kama yeye aliyekuwa amezoea anasa na mambo mengine ya kidunia ,anatakiwa ajipange na ujue naweza kuharibu zaidi na ninavyoona ni heri angebaki tu huko alipo kua amepaamua kuwepo.Au aamue ubaya ubaya hadi kufa ,yeye na dunia kwa kwa mpya ,na sisi tunasema mbwa kayarudia matapishi yake mwenyewe na nguruwe aliyeoshwa amerudi kugala gala matopeni.Msamaha wa mtu kama huyu huwa ni Mgumu sana kwa Mwenyezi Mungu japo kuwa yeye ni Mwingi wa rehema.Mungu atunusuru kwa kila hali maisha yetu ni ya shida sana hapa duniani mana kila kona shilingi inahitajika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baba Jesca legeza vyuma baba yaisheeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] njaa hizi. Jamaa alistaafu kwa mbwembwe zooteee

Naona kamiss kugombaniwa na wake zake,hapo ataongeza mwingine ili mtiti uanze upya
Hivi kamaliza hata mwaka kweli?
 
Ngoja niwaambie jamani ,kitu wokovu sio mchezo,hasa kama ulikuwa mwanachama mzuri wa huyu anae itwa ibilisi bin sheitwan,mambo ya kidunia ukitaka kuyaacha kuna mtihani mkubwa zaidi ya vile unavyoweza kufikiri,nguzo zote ulizokuwa nazo zinaweza kuporomoka na ukajikuta unabaki peke yao,kumbuka kabisa kwamba umebadili mfumo wa maisha na unaingia kwenye mfumo mpywa ambao hapo mwanzo haukuwepo.

Sasa hapa ibilisi bin sheitwani huingia kazin baada ya kukuona umeanza kukenguuka ,hakupi nafasi ya kupumua ,anapika uchumi,familia na jamii yako inakuona kuwa wewe ni fala na umekosea kila kitu,kiufupi lazima ujione mpweke,na ukicheza unaweza kupoteza hata watoto kwa vifo na kufarakana na mkeo ndugu na jamaa.

Tatizo ni kwamba ukitangaza kuacha jambo fulani na likaonekana kutaka kuleta ukinzani kwa huyu bwana mkubwa wa hapa duniani jua wazi kwamba umefungulia vita za kiroho.Vita vya kiroho huwa havipiganwi ki mwili ila effects zake unaziona mwanana kwenye maisha yako.Ukitaka kuamini waulize watu wenye tabia chafu ambao huchoka natabia hizo na mwisho wa siku huamua ku declare kwamba wameacha ,watu hawa badala ya kuacha hujikuta wameanza safari upya na kujikuta wanafanya mara mbili yake zaidi.Waulize wanao jichua kinachowapata kila wakitaka kufanya maamuzi ya kuacha hutokewa na nini,walevi,wezi ,makahaba,tapeli,wazinzi nk.

Shetani huwa hana shida na mtenda dhambi mana anajua yeye hana kikwazo kwake,utapata tabu ipi na kuku aliye bandani mwako?,yeye anapigana vita na watu wanaotangaza vita juu yake na ni vita moto moto ,inahitaji ujiimalishe hasa, la sivyo utanyosha mikono juu na kusalim amri.

Huyu mzee anatakiwa ajipange vyema na achague wapi kunako mstahili ,akhera ipo kwa wale walio jitoa kweli kweli na haipatikani vyepesi hasa kwa mtu kama yeye aliyekuwa amezoea anasa na mambo mengine ya kidunia ,anatakiwa ajipange na ujue naweza kuharibu zaidi na ninavyoona ni heri angebaki tu huko alipo kua amepaamua kuwepo.Au aamue ubaya ubaya hadi kufa ,yeye na dunia kwa kwa mpya ,na sisi tunasema mbwa kayarudia matapishi yake mwenyewe na nguruwe aliyeoshwa amerudi kugala gala matopeni.Msamaha wa mtu kama huyu huwa ni Mgumu sana kwa Mwenyezi Mungu japo kuwa yeye ni Mwingi wa rehema.Mungu atunusuru kwa kila hali maisha yetu ni ya shida sana hapa duniani mana kila kona shilingi inahitajika.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unamlaum shetani kimakosa.
Kwani mungu aliyemkiri anakua wapi kumpa protection mpaka shetani anakugeuza geuza atakavyo?
 
Kwenye suala la kuabudu kama sio mvumilivu wa njaa hasa ukiwa huna shuguli ya kufanya zaidi ya ile haramu uliyokua unafanya mwanzo ..kurudi kwenye maasi fasta tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unamlaum shetani kimakosa.
Kwani mungu aliyemkiri anakua wapi kumpa protection mpaka shetani anakugeuza geuza atakavyo?
Mungu ana vipimo vyake usidhani kuwa utamkiri leo na akupe huo ulinzi leo hii,anawatazama walio mkiri miaka mitano na kuendelea,ww mchanga unakuwa kwenye test anazojua yeye,Mungu haangalii cheo cha mtu ila ujaji wa mtu baasi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu ana vipimo vyake usidhani kuwa utamkiri leo na akupe huo ulinzi leo hii,anawatazama walio mkiri miaka mitano na kuendelea,ww mchanga unakuwa kwenye test anazojua yeye,Mungu haangalii cheo cha mtu ila ujaji wa mtu baasi

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni rahisi zaidi kusema mungu unamtengeneza kwa akili yako.
 
Back
Top Bottom