pumzihaiuzwi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2015
- 3,273
- 3,083
Angekuwa analipwa vizuri huko angeendelea kubaki huko,tatizo waislam wabahili sana sisi wakristo tunapotoa sadaka wao utasikia wanasema mnaliawa hela na hao matapeli sasa wao mashehe wao wengi choka mbayaa wanarudi kufanya kazi nyingine za din wanaacha au wengine wanalashalashaWatu mna maneno? Sasa hapo njaa imetoka wapi wakati mwenzenu kapata mawazo mbadala na kuyafanyia kazi
Naye huyo sumalee ni ombaomba sana tu kachoka nayenampa sana big up Suma lee yeye ameweza kuhimili kumtumikia Allah wake huyu Yusuf amefeli vibaya
Chanika ndo kwake ila kwa usawa huu arudi tu hata ingekua mm ningerudi aisee kwani mungu haoni njaa jamani?Alikuwa na maisha magumu Sana , alikuwa anashinda kijiwen anaganga njaa.. Nilikuwa naamini hawez vumilia lile laifu lazima atarudia kwenye muziki .. Hatimae Sasa.
Mara ya mwisho nilimuona chanika akiwa kachoka ile mbaya
Sent using Jamii Forums mobile app
So hela zote alishindwa weka investments, za maana?Alikuwa na maisha magumu Sana , alikuwa anashinda kijiwen anaganga njaa.. Nilikuwa naamini hawez vumilia lile laifu lazima atarudia kwenye muziki .. Hatimae Sasa.
Mara ya mwisho nilimuona chanika akiwa kachoka ile mbaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha
Kwani kijiwe kilikufa?Mashoga lazima wamefurahi kurejea kwake
Kijiwe pale travertine kimerudi
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app