Mfalme wa Dubai, Mohammed Maktoum mwaka 2018 alitua na ndege Loliondo na KIA kwa shughuli gani? Kwanini aliambatana na Abdulrahman Kinana?

Mfalme wa Dubai, Mohammed Maktoum mwaka 2018 alitua na ndege Loliondo na KIA kwa shughuli gani? Kwanini aliambatana na Abdulrahman Kinana?

Now naanz kuelewa kwanini bwana "kinanda" alifuga uchebe kama wale jamaa wa makumbusho wa simu.
 
View attachment 2664351

Yaani mwarabu anatua na midege apendavyo kwenye rasilimali zetu Watanganyika na kuonyeshwa achague chochote.

Kwanini iwe siri na kwanini ziara hiyo haikuwekwa bayana?

Je, hilo dege la kivita lilitoka hivihivi bila nyara zetu huko porini?

Ee Mungu baba tunusuru waja wako!
Raia wa nchi ya Zanzibar sio mchezo kabisa. Wangebaki na umakamu wa Rais tu kulinda maslahi ya nchi yao pendwa ya Zanzibar
 
Duuuh, kapokelewa na makamu mkiti Taifa ccm bara, aiseee kweli twafwaaa ... Hapo ni ndovu ndovu kwa kwenda mbele
Loo salale...Kiongozi Mkuu wa nchi anapokelewa na makamu mwenyekiti wa CCM! Kwa hakika CCM imetuuza Watanganyika!
 
Tuamke ili nchi apewe MBOWE?????
Huna hoja, endelea Kula kwa wazazi baada ya kuamkia shikamoo Mara tatu kwa kutwa! Laiti ungalijitambua ulivyo mihimu katika kuzilinda na kuzitunza rasilimali za imma ungekuwa Bora Sana na usingejibu hivi! Unahitaji elimu ya uraia kwa kiwango kikubwa Sana.
 
Na vijana mmekaa kwenye vijiwe vya bodaboda na mabanda ya kubet badala ya kujaa mabarabarani kulinda rasilimali zenu! Sijui mtalisha Nini watoto wenu kesho. Wazee mlioaminishwa kuwa na busara na hekima wamegeuka madalali wanawauza na nchi yenu kwa Bei ya jumla! Amkeni enyi watoto!
vijana wanadai hata wakiandamana hawafaidik na chochote wanaona bora viuzwe tuu nahic elimu inahitajika zaid
 
View attachment 2664351

Yaani mwarabu anatua na midege apendavyo kwenye rasilimali zetu Watanganyika na kuonyeshwa achague chochote.

Kwanini iwe siri na kwanini ziara hiyo haikuwekwa bayana?

Je, hilo dege la kivita lilitoka hivihivi bila nyara zetu huko porini?

Ee Mungu baba tunusuru waja wako!
Dah kweli sasa picha kamili inakuja, si haba upo mpango mkubwa wa kupiga bei rasilimali za Tanganyika.
 
View attachment 2664351

Yaani mwarabu anatua na midege apendavyo kwenye rasilimali zetu Watanganyika na kuonyeshwa achague chochote.

Kwanini iwe siri na kwanini ziara hiyo haikuwekwa bayana?

Je, hilo dege la kivita lilitoka hivihivi bila nyara zetu huko porini?

Ee Mungu baba tunusuru waja wako!
Safi sana. Wawekezaji wetu. Karibuni sana bongo.
 
View attachment 2664351

Yaani mwarabu anatua na midege apendavyo kwenye rasilimali zetu Watanganyika na kuonyeshwa achague chochote.

Kwanini iwe siri na kwanini ziara hiyo haikuwekwa bayana?

Je, hilo dege la kivita lilitoka hivihivi bila nyara zetu huko porini?

Ee Mungu baba tunusuru waja wako!
Mwinyi Baba nae aliuza Loliondo miaka 99...anajuta sasa .....huyu bibi nae kauza airport KIA na bandari Tanesco na Postal khaaasw
 
View attachment 2664351

Yaani mwarabu anatua na midege apendavyo kwenye rasilimali zetu Watanganyika na kuonyeshwa achague chochote.

Kwanini iwe siri na kwanini ziara hiyo haikuwekwa bayana?

Je, hilo dege la kivita lilitoka hivihivi bila nyara zetu huko porini?

Ee Mungu baba tunusuru waja wako!
Hivi kwanini woote wanaohusika na Dubai ni waislam? Hapa namuona Kinana? Au wanaeneza dini?
 
Zipo sababu za msingi za kufanya hivyo zaidi ya huu umbea wa mitandaoni. Kuna suala zima la ardhi kupoteza uhai wake wakiendelea kuwa pale na kuitumia kulishia mifugo na wao kuishi.
Isipoteze for centuries ije ipoteze leo?
 
View attachment 2664351

Yaani mwarabu anatua na midege apendavyo kwenye rasilimali zetu Watanganyika na kuonyeshwa achague chochote.

Kwanini iwe siri na kwanini ziara hiyo haikuwekwa bayana?

Je, hilo dege la kivita lilitoka hivihivi bila nyara zetu huko porini?

Ee Mungu baba tunusuru waja wako!
Uhuru ndani ya ukoloni bila kujijua..,
 
Uzuri ni kuwa hii mijizi mingi ya hicho chama; huyu msomali, mkwere, n.k imeshazeeka. Mungu ataiondoa punde
 
Back
Top Bottom