Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,772
- 8,939
Uongo huuTanzania tunaweza kukubali offer ya Rais Trump wa Marekani ya kuwahifadhi Wakimbizi wa Palestine
Mwenzetu King Abdullah amekubali kupokea Wakimbizi Watoto 2000 kutoka Palestine
Ahsanteni 🐼
Wala hawana udini wale!Tatizo wale watu ni udini, Tanzania haidekezi mambo ya udini na ukabila. Wakija wasahau udini na upalestina wao na wachanganyikane na raia wenyeji waishi bila kufanya harakati za kuvuruga taifa letu na pia waachane na chuki kwa Israel
Wapalestina na ugaidi ni sawa na samaki na maji huwezi kutenganisha.Tatizo wale watu ni udini, Tanzania haidekezi mambo ya udini na ukabila. Wakija wasahau udini na upalestina wao na wachanganyikane na raia wenyeji waishi bila kufanya harakati za kuvuruga taifa letu na pia waachane na chuki kwa Israel
Du “mwenzetu” taking it for grantedTanzania tunaweza kukubali offer ya Rais Trump wa Marekani ya kuwahifadhi Wakimbizi wa Palestine
Mwenzetu King Abdullah amekubali kupokea Wakimbizi Watoto 2000 kutoka Palestine
Ahsanteni 🐼
Wanakata maji na umeme, viongozi wote wanauawa na kuwekwa selo utakatalia wapi.Wakikataa kuondoka watafanya nini?
Kasema anainunua Gaza, anayeiuza akishapokea malipo ndiye atakayewaambia wapangaji wake wahame. USA atasaidia usafiri.Kwaiyo hapo Marekani anaenda kuwaomba Wapalestina wahame au nayeye anaenda kupiga mabomu?
Yeye kakubali watoto wanaoumwa cancerTanzania tunaweza kukubali offer ya Rais Trump wa Marekani ya kuwahifadhi Wakimbizi wa Palestine
Mwenzetu King Abdullah amekubali kupokea Wakimbizi Watoto 2000 kutoka Palestine
Ahsanteni 🐼
Hahaha yani ukachukue wakimbizi kumfurahisha Marekani? Hata kama unalipwa vijicent, utawalisha nini na utawafanyia nini baada ya kuwachukua?Tanzania tunaweza kukubali offer ya Rais Trump wa Marekani ya kuwahifadhi Wakimbizi wa Palestine
Mwenzetu King Abdullah amekubali kupokea Wakimbizi Watoto 2000 kutoka Palestine
Ahsanteni 🐼
Mmiliki wa Gaza ni nani?Kasema anainunua Gaza, anayeiuza akishapokea malipo ndiye atakayewaambia wapangaji wake wahame. USA atasaidia usafiri.
Kuna mtu mbaguzi kama myahudi?Wabaki huko huko waarabu ni wabaguzi na wa dini sana. Wapambane na hali zao wakija hapa labda wakaishi kulee.
Wanaongelewa ni raia wa Gaza, Hamas ni chama cha siasa chenye kitengo cha jeshi ndani yake ambacho kipo kwaajili ya kusaka ukombozi wa Taifa lao toka kwa Mkoloni Myahudi.Hamas ?!!
Hapana Kwa kweli....
Labda wangekuwa wa kutoka Ramallah na Bethlehem iliyoko chini ya Fattah.....
Hao Hamas watakuja kuwafundisha wapumbavu UGAIDI.....
#Nchi Kwanza!
Mkuu hii umeitoa wapi maana nimeona kuwa hawakufikia muafaka kwa sababu mfalme wa jordan kasema yeye hatofanya chochote ambacho kitawatoa wapalestina kwenye eneo laoTanzania tunaweza kukubali offer ya Rais Trump wa Marekani ya kuwahifadhi Wakimbizi wa Palestine
Mwenzetu King Abdullah amekubali kupokea Wakimbizi Watoto 2000 kutoka Palestine
Ahsanteni 🐼
kupokea msaada haifanyi mtu akubali chochote hata kama cha kijinga, hivi umeona wapi mtu ananunua nchi na kusema wote waondoke, dunia nzima including washirika wa marekani european union imemkatalia trump na kumuona kitukoJordan anapokea $1.2billion kama msaada kila mwaka. Ukatae iweje?
Kataa misaada.
Wana chawa na ukoko vichwani.Tanazania wachukue wapalestina ila wa kike tu wenye umri kati ya 18yrs na 25. Waje wawamwage uswahilini.
Tumechoka kunusa uvundo we weaving na mawig. At least na sisi tufeel ladha halisi ya nywele ya singa.
Adui wako lughaWe muongo Lete source...! Acha kubwabwaja
Mpaka ukate moto ndiyo unakabidhiwa burudiko lako tena pembeni ya kijito ukiwa umejilaza kivivu na bilauri ya mvinyo mkononi.Napokea mabikira 72 kwa gharama zangu
Anaenda kubadilisha sura ya Dunia tunayoijua.kupokea msaada haifanyi mtu akubali chochote hata kama cha kijinga, hivi umeona wapi mtu ananunua nchi na kusema wote waondoke, dunia nzima including washirika wa marekani european union imemkatalia trump na kumuona kituko