Wala hawana udini wale!
Huyu mwandishi alikuwa raia wa Palestina na raia wa US ila aliuawa ukingo wa magharibi akireport jinsi Israel ikivyovunja nyumba za Wapalestina mwaka 2023! Pia ni mkristo ata baada ya kuawa jeneza lake lilibebwa na umma wa watu wengi kwenda kanisani hapohapo Palestina western bank.
Sisi huku ndiyo tunauchukulia ule mgogoro ni wakidini ili utagawe ila kimsingi wale hawana mgogoro wa kidini tena nakuambia kama wewe ni mkristo ukienda Palestina utaishi vizuri na jamii hiyo kuliko ukienda Israel! Israel hawataki kusikia habari ya Yesu.
View attachment 3233853