Akikutana na Yule wa Thailand wanaendana tuMfalme ni mvaa hivyo sana tu.... Jaribuni kuangalia picha za event zake hata akiwa home kwake[emoji35]
MsinidriveHa ha ha ha ha ha ha ha ha ha. Hivi sasa vipi kuhusu ile mikataba kama mambo ya mzee ndio hayo.
unamjua zaid mfalme kuliko mke wakeALIYE-PHOTOSHOP PICHA YA MFALME WA MOROCCO ALIKUA NA MALENGO GANI?
View attachment 425961
· Kuuchafua Uisalmu.
· Kuichafua nchi ya Morocco ya utawala wake.
· Kumchafua Mfalme wa Morroco binafsi.
· Kuichafua serikali ya Magufuli.
· Kuchafua Zanzibar.
Angalia (zoom) vizuri picha sehemu iliyozungushiwa duara utaona katikati kuna mstari unaomaanisha kuna muunganiko wa picha mbili ndani ya picha moja, angalia zaidi kwenye sikio palipozingishiwa kuna muunganiko wa masiko mawili tofauti. Hiyo ilkua ni kuthibitisha tu mchezo uliofanyika kwa wale ambao si wajuzi wa mambo haya mpaka kupelekea kudanganyika na kuona kwamba picha hiyo ni ya kweli mpaka wengine kufikia kuanzisha nyuzi kutokana na picha hiyo.
Swali la msingi nini ilkua malengo ya mtu huyu?
Double yake?Photoshop hiyo, Mfalme wa Moroco hawezi kuvaa Tishert yenye Picha la Bhangi lililo nakshiwa kwa Rangi ya bendera za Marekani
Ni kweli kawaida anasafiri na kitanda chake. Google utaona vituko vyake.Taarifa zaidi zinadokeza kwamba ALIKUJA NA KITANDA CHAKE .
Sio yeye huyo, Kwanza yeye mrefu zaidi ya huyo kisha akisimama huwa kifua juu. Huyo anaweza kuwa double yakeHIYO SIO PHOTOSHOP, angalia picha zake zingine anavyojiachia. Google him umwone.
Jamaa ni mtu wa bata sana
usiwe mvivu katafute picha zake nyingine uone huyo mfalme alivyo msela km juma nature vile..Itakuwa photo shop hii,ona huo mkono wa mfalme wa kushoto,umegusa kabisa ziwa la huyo dada!! Haiwezekani mfalme tena wa dini safi ya kiislam kufanya upuuzi wa aina hiyo HAIWEZEKANI HII PICHA KUWA KWELI.
Haya miss chaga,hiv ndo ulikua mshindi wa miss rombokuchafua zanzibar wala uislam sidhani kama ni lengo lake...... hayo mengine may be
hapana mkuuHaya miss chaga,hiv ndo ulikua mshindi wa miss rombo
UCHOCHEZI HUU KWANI YUPO UCHI?View attachment 425812
Mfalme akiwa katika starehe zake Zanzibar. Kama Taifa, tunajivunia nini Rais wetu kupokea mgeni wa aina hii? Tukisema hii ni aibu (alama ya bangi kifuani) kwa taasisi ya Rais, tutaitwa wachochezi?
@Ritz,@msemajiukweli,Lizaboni, @nguruvi3,Mag3