Mfalme wa Morocco - Kweli alistahili heshima ya Rais wetu Muadilifu Magufuli?

Mfalme wa Morocco - Kweli alistahili heshima ya Rais wetu Muadilifu Magufuli?

7893ccafd2d259f873bfef3e5436a1e3.jpg
kwahiyo Swahili times na wak wame edit?
 
ALIYE-PHOTOSHOP PICHA YA MFALME WA MOROCCO ALIKUA NA MALENGO GANI?

View attachment 425961
· Kuuchafua Uisalmu.

· Kuichafua nchi ya Morocco ya utawala wake.

· Kumchafua Mfalme wa Morroco binafsi.

· Kuichafua serikali ya Magufuli.

· Kuchafua Zanzibar.

Angalia (zoom) vizuri picha sehemu iliyozungushiwa duara utaona katikati kuna mstari unaomaanisha kuna muunganiko wa picha mbili ndani ya picha moja, angalia zaidi kwenye sikio palipozingishiwa kuna muunganiko wa masiko mawili tofauti. Hiyo ilkua ni kuthibitisha tu mchezo uliofanyika kwa wale ambao si wajuzi wa mambo haya mpaka kupelekea kudanganyika na kuona kwamba picha hiyo ni ya kweli mpaka wengine kufikia kuanzisha nyuzi kutokana na picha hiyo.

Swali la msingi nini ilkua malengo ya mtu huyu?
unamjua zaid mfalme kuliko mke wake
 
Sleep on that if you want... you non believers gone be the 1St one DEAD!!! Keep Ya heads in the clouds if you want too, the government is our biggest enemy...
if you ain't got that paper, you will be eliminated
 
Ngoja niwasiliane na hao akina dada, ili nitoe jibu muafaka
 
HIYO SIO PHOTOSHOP, angalia picha zake zingine anavyojiachia. Google him umwone.

Jamaa ni mtu wa bata sana
Sio yeye huyo, Kwanza yeye mrefu zaidi ya huyo kisha akisimama huwa kifua juu. Huyo anaweza kuwa double yake
 
Itakuwa photo shop hii,ona huo mkono wa mfalme wa kushoto,umegusa kabisa ziwa la huyo dada!! Haiwezekani mfalme tena wa dini safi ya kiislam kufanya upuuzi wa aina hiyo HAIWEZEKANI HII PICHA KUWA KWELI.
usiwe mvivu katafute picha zake nyingine uone huyo mfalme alivyo msela km juma nature vile..
 
Najaribu kutafuta connection kati ya his majesty na uislam ila siioni maana mfalme ni mtu na sifa ya mtu ni kukengeuka na uislam ni iman ikatokea mtu kakengeuka au kazushiwa ukengeufu apo uislamu unakua umechafuliwa vp?
 
Jamani tuache kuhukumu watu kwa mavazi na vitu vingine uchwara. Ina maana na Rais Obama na Secret Service yote nao ni wapuuzi kumu host mfalme wa Morocco?

Ona picha hizi [emoji116][emoji116]

6039d304513934946bb766a0c88466a4.jpg
922feb6754e18b6e39b8da502a9d4b21.jpg
127467c42ad9bd38f785e3c9ac1bba46.jpg
b8ff6613a32d5ecfa3753db469bc0f79.jpg
 
Back
Top Bottom