Mfalme wa Morocco - Kweli alistahili heshima ya Rais wetu Muadilifu Magufuli?

Mimi mwenyewe nilivyoziona hizo picha nilishiwa nguvu mwili na roho kama wamezi photoshop watakuwa na lao jambo washughulikiwe
 
Naililia Tanzania , kutoka kuwa NCHI hadi kuwa kiji nchi !
 
alipigia chumbani kwake au public area?
 
Hayo ni maisha yake binafsi. Anapenda kufanya shopping zake mwenyewe. Jamaa yuko poa sana,hana mbwembwe. Hakuna cha kushangaa. Ila hapoooo hao dada zetu hasa huyo mweusi ataachiwa mtaji akijua kusoma lugha za alama na akijituma
 
Huyu wa morocco waislamu mmeingizwa chaka ndugu zangu..ehehe! Amekula tisheti lake la mmea wa Marley kweli?
 
Kipindi hicho pia si mlikuwa mnasema jamaa keshauza nchi walipshana viongozi wakuu wa mataifa makubwa mawili mlipiga kelele sana ,sana kaja ustadhi huyu kelele tena ,!!mungu simamisha hii dunia nishuke maana nshachoka hawa watu wanaoitwa wana wa adamu maana hawana jema hata kidogo
 

Kwa bandiko hili nami nakuunga mkono kuwa huenda sisi watanzania si wazima, ni kwa namna gani unaweza kufurahia sana kupewa msaada kisha ukabeza kitu unachokifanya kwa pesa yako mwenyewe?? Ni kwa vipi unaona ni sawa ukaishi kwa msaada kisha pesa yako mwenyewe ukafanyia sherehe ya siku moja??
Ok...sasa zimepanuliwa barabara mbili ya mwenge-morocco na Furahisha -Airport, je hayo maelfu ya kilomita nyingine yamekoma???
Watanzania aina yako hii Msambichaka Mkinga si wazima.
 
Jf ni balaa. Jamaa hoi tuache unafiki. Tuache ukweli uchue mkondo wake.
 
Lete picha halisi tumalize huu mjadala vinginevyo tunachukulia ni porojo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…