Hapana, ni kweli Nigeria wanaongoza ila Tanzania inaachwa mbali mno na Morocco haifikii hata nusu ya GDP ya Morocco. Morocco ni ya tano kwa GDP ya zaidi ya $ 100Bn, wakati sisi tuna $46Bn tu!
Ila kwa per capita income (pato la mtu mmojammoja baada ya kugawa pato la Taifa kwa idadi ya watu) Afrika inaongozwa na tajiri mpya wa mafuta Equatorial Guinea ambayo kila raia wa nchi hiyo anakadiriwa pato la $ 16,000 (Tsh zaidi ya 35m kwa mwaka au karibu Tsh 3m kila Mwezi) na Seychelles ikiwa ya tatu na Tanzania ya hamsini kwa pato la $720 (kama Tsh 1 u nusu kwa mwaka).
Hapana, ni kweli Nigeria wanaongoza ila Tanzania inaachwa mbali mno na Morocco haifikii hata nusu ya GDP ya Morocco. Morocco ni ya tano kwa GDP ya zaidi ya $ 100Bn, wakati sisi tuna $46Bn tu!
Ila kwa per capita income (pato la mtu mmojammoja baada ya kugawa pato la Taifa kwa idadi ya watu) Afrika inaongozwa na tajiri mpya wa mafuta Equatorial Guinea ambayo kila raia wa nchi hiyo anakadiriwa pato la $ 16,000 (Tsh zaidi ya 35m kwa mwaka au Tsh karibu 3m kila Mwezi) na Seychelles ikiwa ya tatu na Tanzania ya hamsini kwa pato la $720 kwa mwaka.